Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingi tu, ndio maana wengi wanang'ang'ania kuajiriwaAnhaa.
Assets gani haihitajiki Kwenye jamii?
We zitaje.Nyingi tu, ndio maana wengi wanang'ang'ania kuajiriwa
Anhaa.
Assets gani haihitajiki Kwenye jamii?
Tuko pamoja. Huwezi ukayatenga mazingira katika suala zima la mafanikio ya kiuchumi [Pesa].umaskini unasababishwa na mambo mengi
Mazngira n moja wapo
Elimu ya fedha (hii hasa) nk
Wakat mwngne utajiri n tabia tu,shape ur characters!
Nitajia tajiri yeyote, kutoka kwenye 'list' ya 'Forbes' kuanzia namba moja mpaka elfu moja aliyeajiriwa.We zitaje.
Bro utadhani we hupendi ajira.
Naona hujaisoma sura yote ,Yesu alikuwa hapingi utajiri ila alikuwa anapinga ulimbikwizaji wa Mali, yaani tajiri ambaye alikuwa hataki kutoa msaada kwa wengine.Watu wanapingana na biblia:
Marko 10:25 BHN
Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
utajiri ni siri
Hayupo.Nitajia tajiri yeyote, kutoka kwenye 'list' ya 'Forbes' kuanzia namba moja mpaka elfu moja aliyeajiriwa.
We utaacha ajira lini ili uwe tajiri?Hayupo.
Ila wengi walianza na ajira kama wakina Jeff Bezos.
Wakina Bill Gates na Zuckerberg na Musk , mazingira ya nchi ya Marekani yaliwafavor kuwa matajiri, mazingira hayo yanahusisha sheria bora za uwekezaji, uwepo wa mainvestors walio tayari kuwekeza na pia monetary policies ya nchi hiyo ya Expansionary.
Base kwenye utajiri wa kipatoUmeandika vizuri sana lakini umeharibu hapo uliposema "umasikini ni laana". Hilo sikubaliani na wewe.
Mbora kati yetu kwa Mwenyezi Mungu ni mcha Mungu, siyo umasikini au utajiri wetu.
Neno masikini ni la kibinafsi "subjective", umasikini kwa mmoja siyo umasikini kwa mwengine. Unaweza kuwa tajiri wa mali lakini masikini wa afya.
Jirekebishe kauli zako
Haijalishi, point yangu ni "umasikini siyo laana".Kweli kabisa ila nahisi jamaa akielezea kwenye nyuzi zake za chini kuhusu utajiri wa afya pia, na pia kuna utajiri wa maarifa na hekima.
Mpaka savings zangu zikae sawa. Na pia research yangu kuhusu biashara, demand ya bidhaa, kupata cheap supply ila pia kuhakikisha kuna retailers wachache wanaofanya nachotaka kukifanya, itakapokamilika.We utaacha ajira lini ili uwe tajiri?
Wowote ule, umasikini siyo laana, ni matokeo tu, tajiri wa leo anaweza kuwa masikini wa kesho, masikini wa leo anaweza kuwa tajiri wa kesho.Base kwenye utajiri wa kipato
Jeff Bezos mtoto wa kishua sio poowa. Aliapata mkopo wa $200,000 kutoka kwa wazazi wake kumbuka kasoma Princeton University chuo bora kabisa DunianiHayupo.
Ila wengi walianza na ajira kama wakina Jeff Bezos.
Wakina Bill Gates na Zuckerberg na Musk , mazingira ya nchi ya Marekani yaliwafavor kuwa matajiri, mazingira hayo yanahusisha sheria bora za uwekezaji, uwepo wa mainvestors walio tayari kuwekeza na pia monetary policies ya nchi hiyo ya Expansionary.
Mpaka hapo, huna nyota ya utajiriMpaka savings zangu zikae sawa. Na pia research yangu kuhusu biashara, demand ya bidhaa, kupata cheap supply ila pia kuhakikisha kuna retailers wachache wanaofanya nachotaka kukifanya, itakapokamilika.
Ndo maana nikasema hawa wote, walifanikiwa kwasababu walikuwa Marekani.Jeff Bezos mtoto wa kishua sio poowa. Aliapata mkopo wa $200,000 kutoka kwa wazazi wake kumbuka kasoma Princeton University chuo bora kabisa Duniani
Bill Gates mama yake alikuwa board members wa IBM baba yake alikuwa mmoja wanasheria wakubwa kabisa Washington State alipewa connection noma
Zuckerberg naye wakishua
Musk naye wakishua upande wa mama yake
Ukweli ni kwamba mazingira yetu ni ngumu Yana nafasi kubwa Sana mtu kuwa maskini that why Musk aliende marekani ili atoboe
Zuckerberg alisema kama asingezaliwa marekani pengine Facebook isingekuwepo duniani
Nyota ya utajiri ndo nini?Mpaka hapo, huna nyota ya utajiri
Kumbuka Rangi Yao pia imewabeba...Ndo maana nikasema hawa wote, walifanikiwa kwasababu walikuwa Marekani.