Tatizo una changanya Mambo,
1.Nyakayi i.e. kipindi cha kutupa hela na kumiliki Mali e.g. TV
2.UJAMAA na MASHARTI YA MABEBERU, hata sasa wanataka USE SHOGA, je utakubali??? wana gawa kondomu, ili hali, nyenzo za umiliki Mali wana zishikiria, UNAPEWA ELIMU YA MATUMIZI na sio MATENGENEZO, e.g. simu, laptop n.k
n.b. JAMBO USILO LIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA, usimlaumu mwl, sema tu ALI SAILTIWA.....
Utakua unamkosea Mungu wako kumuhusisha na mataizo yanayotokana na ushamba ulimbukeni wa ungoziAcheni masihara tuombe tu Mungu tusiingie kwenye huu mtego maana uchumi utarudi nyuma kwa speed ya light,, na kuja kuwa stable itatuchukua mda sana.
Mungu atuepushe tu na huu mtego wa hawa mabeberu,,
Duh...! Watu 16,000 wamefukuzwa kazi serikalini na kunyimwa mafao yao,watu wakashangilia,mzunguko wa pesa umekufa ,watu wakashangilia ,sasa watanzania ni watu au mazombii?Nadhani siku ule moto wa kuzimu ukiwekwa makumbusho na tutakapoacha tumia alama ya twiga ( upole conspiracy) na kuacha kula ugali wa mahindi ( chakula cha ng'ombe) ndio tutakuwa na akili.Watu wamekufa akili thus ni mtaji kwa wachumia tumbo. MTU anatumbuliwa wakashangilia baada ya dakika moja anasamehewa wakashangilia tena,je utasema hawa watu wanakili.
Nina mashaka na UMRI wako, na jinsi ulivyo hadithiwa,Nani alimsaliliti?
Kupora mali za watu kwenye ule ujamaa na badala yake kuwapa watu mafisadi wasimamie viwanda na mashirika yale aliyopora kwenye azimio la Arusha anakuwa alisalitiwa au alijisaliti mwenyewe?
Huna unalojua wewe,endelea kula na kulala siku ziendeTatizo una changanya Mambo,
1.Nyakayi i.e. kipindi cha kutupa hela na kumiliki Mali e.g. TV
2.UJAMAA na MASHARTI YA MABEBERU, hata sasa wanataka USE SHOGA, je utakubali??? wana gawa kondomu, ili hali, nyenzo za umiliki Mali wana zishikiria, UNAPEWA ELIMU YA MATUMIZI na sio MATENGENEZO, e.g. simu, laptop n.k
n.b. JAMBO USILO LIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA, usimlaumu mwl, sema tu ALI SAILTIWA.....
Na huyo aliyefoji PHD amewafikisha wapi?Kumbe we ni mzee wa zamani hivi ,alafu akili unakuja kushikiwa na Mbowe tu aliyepata ziro form six?
Mtu mwenye akili nyingi u!limpima ukakuta zina kilo ngapi???Wewe hujitambui ni bora ungekaa kimya tu ukaficha upumbavu wako,mada imeandikwa na mtu mwenye akili nyingi halafu mbumbumbu kama wewe unarukia kuchangia.
Pathetic kabisa.
Afadhali Mbowe kuliko Msukuma na kibajaji!!Kumbe we ni mzee wa zamani hivi ,alafu akili unakuja kushikiwa na Mbowe tu aliyepata ziro form six?
Unaonekana tu andiko lako ni la mtu fala hasa ,tena mpumbavu hasaMtu mwenye akili nyingi u!limpima ukakuta zina kilo ngapi???
Kumbikumbi wewe.
Hahahah...Uzalendo ni kuipenda CCM na kusifia awamu ya tano kwako huo ndo uzalendo na si kingine pole sanaNina mashaka na UMRI wako, na jinsi ulivyo hadithiwa,
HISTORIA MASHULENI HAWA WAALIMU WANA POTOSHA WATOTO WETU,
ndio maana naanza kuona sasa VIJANA wanakosa UZALENDO.
Enzi hizo Mabalozi na ofisi za CCM matawi na Kata ndizo zilikuwa kila kitu. Zilikuwa zinafanya kazi ya Polisi na mahakama. Mgambo walikuwa wanaheshimika na kuogopwa sana.Enzi za chama kushika hatamu,
Sina maana HIYO, na sija isifia.Hahahah...Uzalendo ni kuipenda CCM na kusifia awamu ya tano kwako huo ndo uzalendo na si kingine pole sana
Balozi wa nyumba kumi alimwaga DNA’s mtaani kwa kuhonga khanga, vitenge , sukari na battery mche wa mbuni na gardenia.Enzi hizo Mabalozi na ofisi za CCM matawi na Kata ndizo zilikuwa kila kitu. Zilikuwa zinafanya kazi ya Polisi na mahakama. Mgambo walikuwa wanaheshimika na kuogopwa sana.
Mkuu huyo ni Kamongo asikusumbue maana mawazo yake ni mgando zaidi ya mtindiWakati haya yanatokea wapinzani uchwara ndiyo walikuwa wanaongoza nchi?
Afadhali mabalozi wa nyumba kumi, Mgambo walifanya kufuru sana. Kwetu kulikuwa na mmoja anaitwa "Mikonyezo" huyu alikuwa hatari ukichanganya alikuwa anamiliki Vespa "Batavuzi".Balozi wa nyumba kumi alimwaga DNA’s mtaani kwa kuhonga khanga, vitenge , sukari na battery
Kwa maana wakati tunakuwa huko chama tawala kilikuwa Frelimo? Nyie viben ten mna shida sanaHawakuwa wao ndio maana hatuko huko.
Nina mashaka na UMRI wako, na jinsi ulivyo hadithiwa,
HISTORIA MASHULENI HAWA WAALIMU WANA POTOSHA WATOTO WETU,
ndio maana naanza kuona sasa VIJANA wanakosa UZALENDO.
Hata Mugabe alikimbilia China yy ameishia wapi.
Kwa ujumla Zimbabwe nimekaa miaka 1995 ilikuwa ni Nchi ya mfano nenda leo nchi ambayo ilikuwa inatuletea misaada ya vyakula kama mahindi yaani kwa wale waliokula Ugali wa unga wa njano hili wanalijua Zimbabwa walianza kuleta misaada na kutusaidia mbegu za mahindi kutoka Zimbabwa.
Kwa hiyo china unayoisemea hakuna kitu zaidi kulimbikiza madeni zaidi