Maisha yalikuwa mabaya sana lakini tuliambiwa hakuna namna ni lazima tuishi kama ilivyokuwa. Mwalimu alikataa kugeuka nyuma ili asije kugeuka jiwe. Mwinyi ndiye alikuja kuruhusu biashara huria na vitu toka Kenya kuingia Tanzania.
Nyerere hakuweza shindanana IMF pia pressure ya mabdaliko ya kidunia,awareness ya wananchi baada ya kuwapa elimu wakaanza kuuona mwanga,na kwa kuwa hakuwa Mwizi akaona ni heri apishe upepo abaki kama mlezi wa taifa, angekuwa mwizi na mpenda anasa angeng'ang'ania Madaraka kama madikteta wengine kina Mugabe, kilichomsaidia MWALIMU ni dini kusali kwa dhati na si kujaza mabenchi hivo akazishinda tamaa za nafsi ambazo uzaa kuiba kodi za wanyonge, kuwaua,kuwatesa,kuwafilishi,kuwafanya wawe masikini ili nafsi ifurahi kama wafanyavo madikteta.