Umasikini wa mtu unaanzia kichwani pake. Kama utani nilivyopoteza mtaji wangu wote kizembe

Umasikini wa mtu unaanzia kichwani pake. Kama utani nilivyopoteza mtaji wangu wote kizembe

Zile noti ukizitoa kwenye labberband ni nyingi [emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nazitoa zote nazitawanya kwenye kitanda kisha napiga nazo picha [emoji23][emoji23] siku nimefirisika kwa hasira nikafuta picha zote
 
Zile noti ukizitoa kwenye labberband ni nyingi [emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nazitoa zote nazitawanya kwenye kitanda kisha napiga nazo picha [emoji23][emoji23] siku nimefirisika kwa hasira nikafuta picha zote
Kuna mtu kariakoo aliuza nyumba ya urithi.
Halooo advertise yake akaenda China [emoji630].

Kula wanawake wa kichina kiarabu n. K.
Anakuambia kule hakugusa rangi nyeusi yeye nyeupe tu.

Alirudi bongo akiwa hana sh mia zaidi ya laptop 4 [emoji23][emoji23][emoji23] tshirt ya pepsi inayowaka waka taaa mbele
 
Kuna mtu kariakoo aliuza nyumba ya urithi.
Halooo advertise yako akaenda China [emoji630].

Kula wanawake wa kichina kiarabu n. K.
Anakuambia kule hakugusa rangi nyeusi yeye nyeupe tu.

Alirudi bongo akiwa hana sh mia zaidi ya laptop 4 [emoji23][emoji23][emoji23] tshirr ya pepsi inayowaka waka taaa mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa ni shatani mkuu. Kuzitafuta kazi lakini kuporomoka nikama anae kwea mnazi
 
Kuna mtu kariakoo aliuza nyumba ya urithi.
Halooo advertise yako akaenda China [emoji630].

Kula wanawake wa kichina kiarabu n. K.
Anakuambia kule hakugusa rangi nyeusi yeye nyeupe tu.

Alirudi bongo akiwa hana sh mia zaidi ya laptop 4 [emoji23][emoji23][emoji23] tshirr ya pepsi inayowaka waka taaa mbele
Mimi nikiwa mwaka wa kwanza pale ud nilikula mkeka milion 4...cha kwanza kabla ya yote nilienda q bar kununua bitch la kizungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].... aisee ile pesa haikumaliza mwezi, kipindi kile sun sirro ipo juu naenda ijumaa chuo narud jumatatu
 
Mimi nikiwa mwaka wa kwanza pale ud nilikula mkeka milion 4...cha kwanza kabla ya yote nilienda q bar kununua bitch la kizungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].... aisee ile pesa haikumaliza mwezi, kipindi kile sun sirro ipo juu naenda ijumaa chuo narud jumatatu
Kula maisha ndugu yangu haya ndo mambo ya kusimuliana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijabahatika kushika hela nyingi kias fulan, wallah swez fanya ujinga wa kupoteza kirahisi, mfn mil 5 zinaishaje bila kufany jambo la maana? Hapan kwangu haiwezekan aseeeeeh
Bro unajidanganya

Kutafuta pesa ni kitu kingine lakini kuzi maintain hapo ndio kuna mziki.

Utazipata tu mkuu utajionea tena unaweza pata zaidi ya mara 5 nyingi unarudia makosa yale yale zinapotea, ndio maana masikini ni wengi kuliko matajiri

Tajiri licha ya kuwa uwezo wake wa kutafuta ni mkubwa na kutunza na kuwekeza pia wako vizuri sana
 
Kuna mtu kariakoo aliuza nyumba ya urithi.
Halooo advertise yako akaenda China [emoji630].

Kula wanawake wa kichina kiarabu n. K.
Anakuambia kule hakugusa rangi nyeusi yeye nyeupe tu.

Alirudi bongo akiwa hana sh mia zaidi ya laptop 4 [emoji23][emoji23][emoji23] tshirr ya pepsi inayowaka waka taaa mbele
Pesa nyingi ya kwanza kushika LAZIMA utaipoteza bila kuelewa inaishaje kwa kuwa
1. Una ndoto za kufanya mengi
2. Una obsession ya vitu vitakavyokufurahisha...

Ila ukishaipoteza... basi utakayopata ya pili utakua mstaarabu kidogo.... then ya tatu utaelewa nn cha kufanya....

Tatizo ni gap ya muda unayoipata... je iko karibu ama gap ni kubwa.
 
Ahahahahah...
Nikiwa sina hela huwa nawataman sana wanawake na kula vizuri.Yan kila mara mnara unasoma 4g halaf njaa inauma balaa.

Ila nikizipata sasa, njaa huwa haiumi kabisaa halaf huwa nasahau kama kuna madem duniani mpaka senti ya mwisho inaposha kwenye project yangu kwa waat huo like ujenz n.k.

Sijui nina shida gani.
Hahaha hii iko poa kama mkinga vile
 
Sijabahatika kushika hela nyingi kias fulan, wallah swez fanya ujinga wa kupoteza kirahisi, mfn mil 5 zinaishaje bila kufany jambo la maana? Hapan kwangu haiwezekan aseeeeeh
Subir ukishika mzigo ndo utajua huwa zinaishaje....
Sometime unaweza kuwa na malengo.. ukaweka katika biashara ila biashara haifanyi vizur... so, pesa inaisha...

Never say never mzee
 
Subir ukishika mzigo ndo utajua huwa zinaishaje....
Sometime unaweza kuwa na malengo.. ukaweka katika biashara ila biashara haifanyi vizur... so, pesa inaisha...

Never say never mzee
Kwangu haiwezekani
 
Natumai wote mnaendelea poa na miangaiko ya hapa na pale.

Wataalam wa mambo wanasema umri wa kufanya makosa na kujifunza vitu mbali mbali ni ule ambao bado mtu yupo kijana maana ni umri ambao unaweza kusahihisha makosa na kurudi kwenye mstari

Kwakweli mimi kama kijana kuna makosa mengi sana ambayo nimesha yafanya ambayo kuna muda nikikaa huwa nawaza nasema pengine nisinge fanya ule ujinga pengine ningekuwa mbali sana kiuchumi lakini ndio unakuta opportunity imeshapita.

Kwa kweli huwa muda mwingine nakaa nafikiria wale wazee ambao umri umeenda na wako bado kwenye umasikini wa kutupwa sipatii picha maumivu ya majuto walionayo maana unakuta umri umeenda hawawezi tena kupindua meza

Sasa kuna kisa ambacho kimenisukuma kuandika huu uzi , kama mnavyo fahamu maisha ya jiji la dar es salaam kwa wale ambao hawana ajira rasmi na pia hawana mitaji mikubwa ya kufanya biashara maisha yao yanavyokuwa, unakuta ni kuangaika sana kama kuku wa kienyeji na kazi ndogo ndogo ili mkono uende kinywani na ulipe bili kama maji na umeme.

Kuna siku rafiki yangu mmoja alinipigia simu akaniambia njoo makumbusho karibia na stand kuna dili la maana litanifaa niachane na mambo ya uchinga niliokuwa nafanya ilala boma .

Kweli nilienda nikakutananae akanipeleka kwa jamaa yake flani akaniambia huyu rafiki yangu amabahatika kupata kazi sasa anauza hii sehemu yake ya biashara kama nitakuwa na pesa aniuzie maana mzunguko wa biashara pale ulikuwa mzuri.

Jamaa alikuwa amechongesha banda kubwa sana la kisasa alikuwa anauza juisi za matunda pamoja na kupaki matunda ndani ya hilo banda alikuwa na freezer kubwa, friji moja ndefu, blender za kisasa na vitu vingine vidogo vidogo,mbele kaweka banda la chips na mishikaki pia mpesa kazi alikuwa anapiga hadi saa 6 usiku .

Vitu vyote alikuwa anataka million 2 kuanzia banda hadi vifaa hapo mfukoni nilikuwa na shillingi laki mbili tu, ikabidi niongee na yule jamaa yangu kama anaweza kunikopesha kiasi kadhaa kweli alikubali kuniongezea laki 4 nije nimrudishie laki 4.5

Baada ya mazungumzo tulielewana baada ya wiki nitampelekea ile pesa maana ilibidi nitafute kama millioni 1.4 ili itimie 2 million. Wakati narudi nimepanda kwenye daladala nikaanza kujilaumu na kumlaumu mungu nitapata wapi mtaji nikachukue ile sehemu kiukweli mawazo yalikuwa mengi sana lakini sikupata jibu wapi nitatoa 1.4m

Baada ya siku kama 3 nikapiga dili kwenye maswala haya ya upatu kwa bahati nikapata kama million 5 hapo ndio akili ikapotea kichwani .kumbuka hapo jamaa yangu yule alikuwa kakubali kunipa laki 4, mm nilikuwa tayari na laki 2 ilikuwa kwenye ile pesa nilioipata nilikuwa natakiwa kutoa 1.4 million ili nikamilishe kuchukua lile eneo.

Kiukweli akili yangu ilibadilika nikaona nikitoa ile pesa kuchukua ile sehemu nikama pesa yote itaisha, yaani nikawa naona kama naenda kudhulumiwa. Wazo nililolipata niakona nitoe pesa yote niitunze getto. Kisha nikampigia yule rafiki yangu nikamwabia amwabie yule mwenye eneo atafute mtu mwingine mimi jamaa niliokuwa natarajia anipe pesa amegoma.

Kiukweli baada ya kushika ile pesa mkononi niliiona ni nyingi mno zaidi ya millioni 5 mabunda manne ya elfu kumi kumi na mawilli ya elfu tano tano.

Uone sisi masikini tulivyowajinga kwanza shughuli nilizokuwa nafanya ilala boma pale nikasitisha nilikuwa mvivu balaa maana ile kazi nilikuwa nawahi saa 9 hadi saa kumi asubuhi nikaona kama nauchosha mwili bure.

Nikaacha kabisa kwenda kufanya kazi kule ilala , kaziniliokuwa nafanya nikula kucheki gemu za mpira mixer, mieleka tamthilia, nilikuwa sitoki njee nikitoka asubuhi naenda kuchukua tray nzima ya mayai kila siku nakaanga mayai 10, maziwa yale fresh ya asas kila siku nachukua mifuko miwili. Matunda yalikuwa hayakauki getto, mikate, juice zile za Ceres ndio yalikuwa maji yangu ya kunywa.

Pale riverside kuna mama mchaga anafuga kuku wa kisasa kila siku nilikuwa nimeweka order kuku mzima ananitengenezea kabisa kisha ananiletea nakaanga vyakula vilijaa getto ikabidi ninunue kale ka friji kadogo kabisa used boss laki na hamsini nikawa natunza mazaga zaga humo.

Pale riverside sehemu ya starehe iliozoeleka ni mikasa kila siku nilikuwa naenda kula raha pale usiku kisha naondoka na demu napeleka getto .

Akili yangu ilikuwa kama imeruka kuna siku nilikuwa nalala naamka hata saa 7 usiku kutoka usingizini najiandaa naingia bar kunywa pale mikasa yaani kwa muda mfupi wahudumu wa pale wakanizoea maana mm kila siku kuanzia J3 hadi jpili sijui usiku wa kareoke vyote nilikuwa nahudhuria kisha nikiona demu mkali lazima nijikoshe na vipesa kisha niondeke nae.

Ikifika asubuhi kabla demu hajaondoka namwambia atoe kuku kwenye kale ka freezer akaange mixer mayai, maziwa kisha nampatia na pesa kisha ndio anaondoka.

Nakumbuka kunasiku nilikuwa counter nimekunywa kweli siunajua watoto wa dar walivyo mara akaja manzi flani akakaa karibu yangu bila kuuliza nikaanza kumnunulia bia kunywa sana bia zangu na unajua mule ndani bia yenye bei ndogo kabisa 3000 . Nakambuka niliondokanae kufika getto kumbe ni malaya aliekubuu ananiambia kabla ya kila kitu naomba changu kabisa.

Asee nilikasirika sana kwa ile kauli nilifungua begi kwa hasira nikatoa burungutu moja la million moja nikahesabu elfu 30 mbele yake nikamwambia chukua kisha usepe na hapo huyo manzi alikuwa ameomba 20k.

Yaani kiukweli zile pesa zilinipa kiburi kuna demu mmoja slay queen amekula sana pesa zangu pale Mcity piza heat, nilimmnunlia hadi samsung A30

Kiukweli nilifanya mambo mengi ya kufuja pesa yaani sitaki kukumbuka maana nilikuwa sipigi hesabu nilikuwa naingiza mkono nachukua burungutu lolote sitoi hata labberband navuta tu noti kadhaa mpaka kunasiku noti kama 3 ziichanika

Siku akili yangu ilirudi kukaa sawa niliingiza mkono kwenye lile begi nikakuta kuna labberband nyingine hazina kitu kupiga hesabu nikakuta nimebaki kama na laki moja na elfu ishirini asee niliogopa, hapo ndio nikakumbuka mwezi unaokuja natakiwa kulipa kodi ya nyumba yaani nilichanganyikiwa .

Nalitawanya zile pesa zote ndani ya kama mwezi na nusu nikarudi sifuri yaani ilifika muda nikawa naongea mwenyewe barabarani wazo ndio likaniijia kwanini nisinge chukua lile eneo la biashara tena rafiki yangu alikuwa kajitolea kunisaidia .Nilikuwa nikitembea barabarani naona kila mtu kanizidi akili kuanzia boda boda, wale wanaouza maji pembeni ya barabara, sehemu za mpesa, hadi mamantilie

Nilichojifunza ukiona anapata pesa badala ya kuwekeza unaogopa unakaanayo ndani nakupa pole sana unauwezekano mkubwa wa kufa masikini. Masikini tunaogopa sana kuwekeza hapo ndio matajiri wanatuzidia.

Now mtu hanidanganyi nilivyosota hadi kukaa sawa nibora pesa yangu iteketee kwenye biashara kuliko kwenye mambo ya kijinga. Mfano bora anaewekeza kwenye jambo fulani mfano kilimo pesa ikapotea kuliko kuharibu kwenye mambo ya kihuni wote ndio watakuwa wamepoteza lakini kunautofauti mkubwa sana kati ya hao watu wawili

Ogoba sana wale jamaa wakatisha tamaa wekeza pesa yako kwenye biashara yoyote ilimradi umeona inaweza kulipa anaekukatisha tamaa anataka uharibu pesa kwenye mambo ya kujinga.

Pia nilichojifunza vitu ambavyo ni hatari kwa pesa za vijana wengi watafutaji cha kwanza upatu/gambling, wanawake, pombe, ukiangalia vizuri vyote vinaambatana na tamaa

Uzi tayari
Mkuu umeandika ukweli sana aseee,

Mimi pia nimepoteza sana pesa kwa mambo ya kijinga japo si sana ila pesa nyingi nimepoteza kwa kuamini watu kwenye bzness nimekuwa mtu wa kuchukua risk sana ila tatizo linakuja kwenye suala la uaminifu aseee wabongo tunafeli hapo, madeni nayodai watu ni million za shilingi na sioni dalili za kurejesha hizo pesa manake mtu mnadaiana mwisho wa siku unaamua kumuacha kama alivyo maana ni kupoteza muda na kuongeza stress tu, sometime unapata shida unaikumbuka pesa yako unabaki kumlaani tu.

Ila sijawahi kukata tamaa manake kila hatua nayochukua naona mafanikio na kujifunza zaidi (ukipoteza pesa kwenye jambo la maendeleo si sawa na kupoteza pesa kwenye anasa)... Akili yako ndio utajiri wako ila wabongo tunafelishana sana aseeeee.
 
Back
Top Bottom