Nchi yetu ni Maskini sana na wananchi wake ni maskini sana ,kiasi kwamba bado kuna wanakufaa kwa kukosa Matibabu ,Njaa na kukosa malazi.
Najiuliza sana Hawa Wasomi waliopo serikalini na kwenye Uongozi wanatudia kweli?
Sababu kubwa ikiwa ni Siasa ndani ya mfumo Elimu .Nchi yetu ina Mali asili nyingi sana ambazo tungeweza tumia kwa kutengeneza Mali na vifaa tukaweza uza nje.
Kwa kifupi Tunahitaji Mafundi Bomba, Ujenzi, Makarani, Umeme, Ushonaji ,Uvuvi, Komyuta na nk.
Kwa maana Nyingine Tunahitaji Kuwa na Vyuo vingi vya Ufundi kuliko kutengeneza Wasomi wengi wa Digrii ambao Ujuzi wao na uelewe ni sawa na Fundi wa darasa la 7 au kidato cha 4.
Kibaya Zaidi hawa wasomi wa Digrii ndio miaka yote wanaaminika na kuwekwa kwenye Nyazifa za Uongozi kana Kwamba kwa kuwa na hizo Digrii kunalisaidia Taifa kumbe hawana kitu.
Wengi wao watataka wawe na Mali nyingi ziendane na elimu Zao.
Lakini hata Uelewa wao ni mdogo sana kulinganish na elimu zao hivyo wanalipoteza Taifa tu.
Mwisho Kabisa ni Bora tukajenga vyuo vingi vya Ufundi na Viwanda Tukaachana na Hawa watu wanaoitwa Wasomi waliojazana kwenye Siasa sijui Prof ,Doctor ,Wanasheria Wasomi na Nk ambao hawana mchango sana zaidi digrii zao .
Najiuliza sana Hawa Wasomi waliopo serikalini na kwenye Uongozi wanatudia kweli?
Sababu kubwa ikiwa ni Siasa ndani ya mfumo Elimu .Nchi yetu ina Mali asili nyingi sana ambazo tungeweza tumia kwa kutengeneza Mali na vifaa tukaweza uza nje.
Kwa kifupi Tunahitaji Mafundi Bomba, Ujenzi, Makarani, Umeme, Ushonaji ,Uvuvi, Komyuta na nk.
Kwa maana Nyingine Tunahitaji Kuwa na Vyuo vingi vya Ufundi kuliko kutengeneza Wasomi wengi wa Digrii ambao Ujuzi wao na uelewe ni sawa na Fundi wa darasa la 7 au kidato cha 4.
Kibaya Zaidi hawa wasomi wa Digrii ndio miaka yote wanaaminika na kuwekwa kwenye Nyazifa za Uongozi kana Kwamba kwa kuwa na hizo Digrii kunalisaidia Taifa kumbe hawana kitu.
Wengi wao watataka wawe na Mali nyingi ziendane na elimu Zao.
Lakini hata Uelewa wao ni mdogo sana kulinganish na elimu zao hivyo wanalipoteza Taifa tu.
Mwisho Kabisa ni Bora tukajenga vyuo vingi vya Ufundi na Viwanda Tukaachana na Hawa watu wanaoitwa Wasomi waliojazana kwenye Siasa sijui Prof ,Doctor ,Wanasheria Wasomi na Nk ambao hawana mchango sana zaidi digrii zao .