Umeongea Non sense tupu mkuu.
Hapo zamani kabla ya Uhuru,, majumba mengi ya mjini kkoo ,,upanga,,posta,,hata oyesterbay nk yalikuwa ni ya wahindi,,na wageni wengine.
Zikiwemo hata hizo nyumba za NHC za sasa.
Baada ya uhuru serikali ilizitaifisha na kuzimiliki,,baadhi au nyumba zote za wageni .
-Majengo ..
--Shule..
--Majumba ..
-- hata mahospitali.
Sasa hakuna muhindi yeyote anayeiamini serikali ya kiafrica tena ktk suala la ardhi au kujenga nyumba ,,zaidi ya kujenga kwao India.
Muhindi anaishi NHC sababu
--Kodi ni rahisi,,
--karibu na biashara zake.
--karibu na misiikiti yao.
-- karibu na jamaa zao.
Yupo radhi akuhamishe mtu mweusi tena kwa kukununuwa kwa pesa ndefu ili uhame NHC aingie yeye kwenye flat..
Kujenga nyumba ndy ndoto ya kwanza ya kila binadamu mwenye utimamu wa akili..