Mimi najiuliza tu,
Nchi yangu Tanzania, inakila aina ya rasilimali ya utakachotaka, Inazo rasilimali za kila aina, ajabu hakuna chochote tunajivunia licha ya kuwepo Rasilimali nyiiingi kiasi kwamba nyingine hazijawahi kuguswa tangu dunia iumbwe..!
Najuiliza pia, Ni kwa nini Mungu alitupa Hizi Rasilimali nyingi kiasi hiki..! Kwa nini asingetupa nchi kama ya waisrael isiyokuwa na chochote? alitupa rasilimali hizi ili tunyanyasanee au! Au yeye hakuona kuwa kutakuwepo wachache tu, ambao hizi Rasilimali zitakuwa ni mali zao na vizazi vyao tu huku wengine wakiendelea kuishi kwa dhiki na mateso makubwa?
Natanani nchi yetu tusingepewa hizi Rasilimali, tungepewa nchi kama waliyopewa Israel isiyokuwa na chochote, labda hapo viongozi wetu wangekuwa wepesi wa wa kukubali kushauriwa hasa kwenye maswala ya uwekezaji,
Tuna ndege zisizokuwa na maana hata kidogo, ingawa mtazamo ni mzuri, na sasa tunataka kujenga bandari nzuuri na kuuubwa ili iziuwe zilizopo, na cha ajabu, zinazokufa ndio za kwetu 100% na mahali inapojengwa, ni jirani tu na bandari yetu iliyopo Posta jijini Dar es Salaam. Ni wakati wa kuanza kutumia zaidi ufahamu ambao Mungu ametupatia
Wakati mataifa mengi yakijivunia viongozi wao kuwaletea wananchi wake maendeleo makubwa, na kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi, sisi tunajivunia kuwa na viongozi wenye kuwakomoa wale waliotangulia kushika madaraka kabla yao na matokeo yake tukapata ndege nyiiingi zisizo na faida kwetu, ingwa ni ukweli pia, kuna mengi mazuri yenye tija yaliyoanzishwa na serikali hiyo, tunayo ya kujivunia.
Mungu Ibariki Nchi yetu na viongozi wetu.
Nchi yangu Tanzania, inakila aina ya rasilimali ya utakachotaka, Inazo rasilimali za kila aina, ajabu hakuna chochote tunajivunia licha ya kuwepo Rasilimali nyiiingi kiasi kwamba nyingine hazijawahi kuguswa tangu dunia iumbwe..!
Najuiliza pia, Ni kwa nini Mungu alitupa Hizi Rasilimali nyingi kiasi hiki..! Kwa nini asingetupa nchi kama ya waisrael isiyokuwa na chochote? alitupa rasilimali hizi ili tunyanyasanee au! Au yeye hakuona kuwa kutakuwepo wachache tu, ambao hizi Rasilimali zitakuwa ni mali zao na vizazi vyao tu huku wengine wakiendelea kuishi kwa dhiki na mateso makubwa?
Natanani nchi yetu tusingepewa hizi Rasilimali, tungepewa nchi kama waliyopewa Israel isiyokuwa na chochote, labda hapo viongozi wetu wangekuwa wepesi wa wa kukubali kushauriwa hasa kwenye maswala ya uwekezaji,
Tuna ndege zisizokuwa na maana hata kidogo, ingawa mtazamo ni mzuri, na sasa tunataka kujenga bandari nzuuri na kuuubwa ili iziuwe zilizopo, na cha ajabu, zinazokufa ndio za kwetu 100% na mahali inapojengwa, ni jirani tu na bandari yetu iliyopo Posta jijini Dar es Salaam. Ni wakati wa kuanza kutumia zaidi ufahamu ambao Mungu ametupatia
Wakati mataifa mengi yakijivunia viongozi wao kuwaletea wananchi wake maendeleo makubwa, na kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi, sisi tunajivunia kuwa na viongozi wenye kuwakomoa wale waliotangulia kushika madaraka kabla yao na matokeo yake tukapata ndege nyiiingi zisizo na faida kwetu, ingwa ni ukweli pia, kuna mengi mazuri yenye tija yaliyoanzishwa na serikali hiyo, tunayo ya kujivunia.
Mungu Ibariki Nchi yetu na viongozi wetu.