Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Binafsi naona umaskini na ufukara mkubwa ndani ya Tanzania ndio viwe adui nambari moja kabla hatujahamishia magoli kwenye issue ya ushoga na usagaji.
Leo hii mtu analala kwenye nyumba ya nyasi na udongo pamoja na kuku ndani lakini watu hawaoni ajabu kwasababu umaskini na ufukara umerasimishwa katika nchi hii.
Leo hii kuna wanafunzi wa msingi wanakwenda shule na yeboyebo mbovu na wengine miguu ya bata kabisa.
Binafsi naumia sana kuuona ufukara namna hiyo. Leo hii kuna nyumba zinafungwa kwa milango ya mabua lakini watu hawapigi kelele.
Hata mashoga wengine ni impact ya ufukara tu. Ushoga mbaya ila umaskini na ufukara ni mbaya zaidi.
Leo hii mtu analala kwenye nyumba ya nyasi na udongo pamoja na kuku ndani lakini watu hawaoni ajabu kwasababu umaskini na ufukara umerasimishwa katika nchi hii.
Leo hii kuna wanafunzi wa msingi wanakwenda shule na yeboyebo mbovu na wengine miguu ya bata kabisa.
Binafsi naumia sana kuuona ufukara namna hiyo. Leo hii kuna nyumba zinafungwa kwa milango ya mabua lakini watu hawapigi kelele.
Hata mashoga wengine ni impact ya ufukara tu. Ushoga mbaya ila umaskini na ufukara ni mbaya zaidi.