Umaskini na ufukara ni hatari kuliko ushoga na usagaji. Tuanze na vita ya umaskini na ufukara kisha tukatae ushoga

Umaskini na ufukara ni hatari kuliko ushoga na usagaji. Tuanze na vita ya umaskini na ufukara kisha tukatae ushoga

Mkuu jichunguze sana. Huwezi kulalamikia kulala kwenye nyumba ya nyasi wakati kila mtanzania chimbuko lake ni huko. Pia sidhani kama post yako umetumia akilo kulinganisha ushoga na usagaji na umasikini wa kulala kwenye nyumba ya nyasi na kufungia mabua mlangoni wakati hiyo ndo asili yetu. Kwani lini Watanzania wote wamewahi kumiliki magorofa then wakapoteza vyote na kulala kwenye nyasi?

Ivi ulishawahi kufikilia nn maana ya kupoteza utu? Ivi ukijua kuwa either mtoto wako, mshua wako, kaka, mdogo wako, or ndugu yako yeyote anapigwa nyuma unaweza kulichukuliaje? Ebu tulizeni akili kwanza kabla ya kupost vitu kama hivi. Vinginevyo watu watakuchukulia kuwa na wew ndo wale wale.....
Eti!!! Kipi ni tatizo kubwa Kwa watanzania wengi !?? Ni ushoga au umasikini uliotopea!?
 
Mkuu jichunguze sana. Huwezi kulalamikia kulala kwenye nyumba ya nyasi wakati kila mtanzania chimbuko lake ni huko. Pia sidhani kama post yako umetumia akilo kulinganisha ushoga na usagaji na umasikini wa kulala kwenye nyumba ya nyasi na kufungia mabua mlangoni wakati hiyo ndo asili yetu. Kwani lini Watanzania wote wamewahi kumiliki magorofa then wakapoteza vyote na kulala kwenye nyasi?

Ivi ulishawahi kufikilia nn maana ya kupoteza utu? Ivi ukijua kuwa either mtoto wako, mshua wako, kaka, mdogo wako, or ndugu yako yeyote anapigwa nyuma unaweza kulichukuliaje? Ebu tulizeni akili kwanza kabla ya kupost vitu kama hivi. Vinginevyo watu watakuchukulia kuwa na wew ndo wale wale.....
Kulala kwenye nyasi ni asili yako na usiseme asili yetu... Kuna jamii zakitanzania ambazo zimezaliwa kwenye nyumba bora sisizojenga na matope...

Umaskini ni hali ya mtu au jamii kujitakia
 
Uwe na hela halafu litoto lako lisenge
Hapo ndio maji utaita manjota
Kumuelewa mtoa mada lazima uwe na akili ndefu!! Akili za oya oya ,kitandale tandale huwezi muelewa!?na inawezekana kabisa mmomonyoka huu wa maadali unasababishwa na umasikini uliopindukia!! Hii mada nzuri ikipata waelewa sio oya oya!!
 
Hiki chama cha ufipa kingefutwa tu,..msajili wa vyama vya siasa upo hapa? Usalama wa taifa hamkuliona hili likija?
 
Kumuelewa mtoa mada lazima uwe na akili ndefu!! Akili za oya oya ,kitandale tandale huwezi muelewa!?na inawezekana kabisa mmomonyoka huu wa maadali unasababishwa na umasikini uliopindukia!! Hii mada nzuri ikipata waelewa sio oya oya!!
Haha hahah hii ni kampeni iliyoanzia nchi zilizo endelea na iko heavily financed
 
Binafsi naona umaskini na ufukara mkubwa ndani ya Tanzania ndio viwe adui nambari moja kabla hatujahamishia magoli kwenye issue ya ushoga na usagaji.

Leo hii mtu analala kwenye nyumba ya nyasi na udongo pamoja na kuku ndani lakini watu hawaoni ajabu kwasababu umaskini na ufukara umerasimishwa katika nchi hii.

Leo hii kuna wanafunzi wa msingi wanakwenda shule na yeboyebo mbovu na wengine miguu ya bata kabisa.

Binafsi naumia sana kuuona ufukara namna hiyo. Leo hii kuna nyumba zinafungwa kwa milango ya mabua lakini watu hawapigi kelele.

Hata mashoga wengine ni impact ya ufukara tu. Ushoga mbaya ila umaskini na ufukara ni mbaya zaidi.

View attachment 2574244
Inawezwkana ni kweli! Kisa cha Mpwayungu kuingia huko ni kipato kidogo cha ualimu!! Maslahi ya walimu yaboreshwe kuepusha tamaa kama hizi za kupenda kitonga.
 
UJINGA
MARADHI
UMASKINI
Ushoga ni ujinga ndio maana unapigwa vita pia unasababisha umaskini sababu shoga hazai hivyo hazalishi kizazi kipya cha nguvu kazi

Kuzaliana huongeza idadi ya nguvu kazi isipokuwepo umaskini utatokea

Kupinga ushoga ni kupinga umaskini pia
 
Mtazamo wake inawezekana kabisa ni chanzo mojawapo cha ushoga lakini Pia alitakiwa kuangalia nchi zinazoongoza Kwa ushoga Duniani ni maskini? Ushoga ni mtindo wa kuambukuza tabia mbaya Kwa Binadamu na mtindo huu hauchagui nafasi ya uchumi utakayokuwa nayo.

Visababishi ni vingi lakini udhaifu wa Serikali katika kutekeleza MAJUKUMU yake ipasavyo nayo yana mchango mkubwa mfano kama kweli DAWA za Meno na miswaki inayodaiwa kuongeza homon za kike Kwa watoto wa kiume TBS na TFDA wapo wapi?

WAGENI wanatoa Rushwa na kuishi Nchini kiujanja na kuleta tamaduni zao Uhamiaji hata uwapelekee taarifa wanakuangalia na kukucheka.

Muhimu tusubiri awamu itakayokuwa serious ili kutekeleza wajibu wao na kuhakikisha nchi inaongozwa Kwa sheria na zinafanyiwa KAZI taarifa zote zinazoweza kusaidia kukomesha wahalifu walio ndani ya Serikali.
 
Miruzi mingi humpoteza mbwa. Mitanganyika Kila ishu inadandia tu hata ishu ambazo ni almost non-existent kwenye jamii zao. Mtu anapambana na ushoga ilhali hamjui shoga yeyote personally wakati Kuna maskini kibao around yeye. Hii inaitwa kuua nzi kwa nyundo
 
Mtazamo wake inawezekana kabisa ni chanzo mojawapo cha ushoga lakini Pia alitakiwa kuangalia nchi zinazoongoza Kwa ushoga Duniani ni maskini? Ushoga ni mtindo wa kuambukuza tabia mbaya Kwa Binadamu na mtindo huu hauchagui nafasi ya uchumi utakayokuwa nayo.

Visababishi ni vingi lakini udhaifu wa Serikali katika kutekeleza MAJUKUMU yake ipasavyo nayo yana mchango mkubwa mfano kama kweli DAWA za Meno na miswaki inayodaiwa kuongeza homon za kike Kwa watoto wa kiume TBS na TFDA wapo wapi?

WAGENI wanatoa Rushwa na kuishi Nchini kiujanja na kuleta tamaduni zao Uhamiaji hata uwapelekee taarifa wanakuangalia na kukucheka.

Muhimu tusubiri awamu itakayokuwa serious ili kutekeleza wajibu wao na kuhakikisha nchi inaongozwa Kwa sheria na zinafanyiwa KAZI taarifa zote zinazoweza kusaidia kukomesha wahalifu walio ndani ya Serikali.

Ushoga unaanza au kupingwa at a family-level. Matamko ya serikali ni matamko tu ila jukumu la ulezi ni lako we endelea kusubiri awamu iliyo serious ukidhani ndo itamlea mwanao
 
Binafsi naona umaskini na ufukara mkubwa ndani ya Tanzania ndio viwe adui nambari moja kabla hatujahamishia magoli kwenye issue ya ushoga na usagaji.

Leo hii mtu analala kwenye nyumba ya nyasi na udongo pamoja na kuku ndani lakini watu hawaoni ajabu kwasababu umaskini na ufukara umerasimishwa katika nchi hii.

Leo hii kuna wanafunzi wa msingi wanakwenda shule na yeboyebo mbovu na wengine miguu ya bata kabisa.

Binafsi naumia sana kuuona ufukara namna hiyo. Leo hii kuna nyumba zinafungwa kwa milango ya mabua lakini watu hawapigi kelele.

Hata mashoga wengine ni impact ya ufukara tu. Ushoga mbaya ila umaskini na ufukara ni mbaya zaidi.

View attachment 2574244
Kweli wewe una kibarua kuhamasisha ushoga. How much are you paid?
 
Machoko kila kukicha mnaleta mabandiko ya kutetea upumbavu wenu....
 
Binafsi naona umaskini na ufukara mkubwa ndani ya Tanzania ndio viwe adui nambari moja kabla hatujahamishia magoli kwenye issue ya ushoga na usagaji.

Leo hii mtu analala kwenye nyumba ya nyasi na udongo pamoja na kuku ndani lakini watu hawaoni ajabu kwasababu umaskini na ufukara umerasimishwa katika nchi hii.

Leo hii kuna wanafunzi wa msingi wanakwenda shule na yeboyebo mbovu na wengine miguu ya bata kabisa.

Binafsi naumia sana kuuona ufukara namna hiyo. Leo hii kuna nyumba zinafungwa kwa milango ya mabua lakini watu hawapigi kelele.

Hata mashoga wengine ni impact ya ufukara tu. Ushoga mbaya ila umaskini na ufukara ni mbaya zaidi.

View attachment 2574244
wewe jamaa ndio wale nini?????? USHOGA ni noma mazee,,,,ni bora kufa njaa kuliko kuwa shoga tajiri......WEWE KIUNO NINI???
 
Back
Top Bottom