Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Wizara ya maji sometimes yes sometimes no.. client eti mkubwa ni ruwasa ambaye kwa mwaka huu na yeye analia njaa km tanroad...program iliyotuwek mjini kdg ni ya visima vya mama kila Jimbo je isingekuepo hali ingekuaje
Lakini pia huko si mna extraduty, housing
 
Kwa kweli wana stress usisikie! Mijini ndiko kuna changamoto.
Watumishi walioko vijijini ambako hakuna mambo mengi wanachangamkia kulima! Zilizobaki ni kunywa pombe kwa kwenda mbele.
Usafiri ananunua bodaboda au baiskeli maisha yanakwenda.
 
Au ukiwa mjanja mwanamke anaingia ajira ya serikali we unapambana kwingine,hapo una uhakika wa bima.
 
Back
Top Bottom