Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Ni kweli kwa kiasi kikubwa. Ingawa pia inategemea uko sehemu gani. Lakini kama basic salalry yako haizidi 1.5 M kabla ya makato, kuna uwezekano mkubwa ukaishi maisha ya kujinyima sana ili mambo yaende hasa kama una mke na watoto.

Mtaani pia kuna changamoto zake. Lakini kama utaweza kukaza vizuri, inawezekana ina the long run ukatoboa mtaani kuliko kwenda kusettle kwa take home ya 500k.​
 
Huu ni ukweli mchungu Sana Ila wavivu wataukataa.

Ukweli ni kwamba hakuna Uhuru wa kipato serikalini labda uwe jambazi, mwizi na Fisadi!

Ila kwenye middle class na low class job hakuna maisha ni stress Kuna nesi namjua ana diploma anapeleka home 210k per month ni single Mather ananuka shida na madeni ni kukopakopa tu uku na kule!.

Ajira ni Siri kubwa Sana na ni mipango ya mabepari kuendelea kuwa matajiri wao!!

Imagine doctor mwenye mshahara wa 1.5 million anaenda home na 800k kila mwezi akichukua mkopo ataenda na 500k huu ni ujinga na utoto kwa mtu ambaye anatakiwa kuwa vizuri mentally ili atibu wangonjwa ila unakuta yeye ndiye anaumwa!!

Ajira ni utumwa Kama wewe ni mtu wadilifu.
Ila watu mnachekesha .
 
Inategemeana na mtu sii kila mtu anaweza kupambana na kitaa akatoboa.
Mm nilikuwa kitaa nimepauka but baada ya kupata kazi nuru imeanza kurudi mtaani ni pamoto
 
Kabla sijaajiriwa nikuwa huko kitaa mbona sikuona hayo maisha mazuri,na mbona hao niliowaacha huko kitaa wqnatamani ajira. Nikweli mtu anaweza kupata hiyo 50k kwa siku lakini Kuna wakati anakaa hata wiki hajaaingiza pesa .serikalini Kuna madaraja ukiwa mvumilivu Kuna utapata mshahara mkubwa tu in a long run,shida yetu tunataka kuajiriwa Leo,tununue gari Leo,tule bata Leo tunenge leo.hakuna maisha ya hivyo
 
Mbona mnatukatisha Tamaa tena Sisi wazunguka na bahasha
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nimwkua mtumishi kwa miaka 25 sasa.
Daily nachamba koo, watoto wote 8 wanasoma shule nzuri, nyumba nimejenga, ndinga naaukuma, ndugu wananitegema na sina mpango wa kuachana na utumishi zaidi najiandalia shamba la kwenda kumalizia uzee wetu pindi tutakapo staafu kwa mapenzi ya Allah
Mh mjumbe kumbe wewe ni msiri hivi[emoji1]
 
Huu ni ukweli mchungu Sana Ila wavivu wataukataa.

Ukweli ni kwamba hakuna Uhuru wa kipato serikalini labda uwe jambazi, mwizi na Fisadi!

Ila kwenye middle class na low class job hakuna maisha ni stress Kuna nesi namjua ana diploma anapeleka home 210k per month ni single Mather ananuka shida na madeni ni kukopakopa tu uku na kule!.

Ajira ni Siri kubwa Sana na ni mipango ya mabepari kuendelea kuwa matajiri wao!!

Imagine doctor mwenye mshahara wa 1.5 million anaenda home na 800k kila mwezi akichukua mkopo ataenda na 500k huu ni ujinga na utoto kwa mtu ambaye anatakiwa kuwa vizuri mentally ili atibu wangonjwa ila unakuta yeye ndiye anaumwa!!

Ajira ni utumwa Kama wewe ni mtu mwadilifu.
Daaah hii inakatisha tamaa
 
Huku kitaa tunapambna na Hali zote ngumu
Sometimes ni kweli,ukiwa kitaa upo huru ni nguvu zako tu unaweza piga mpaka 50,000 kwa siku

Ingawaje watumishi wana uhakika wa maisha iwe mvua iwe jua

Na kabima uchwara nako kanawabeba
 
Back
Top Bottom