Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ndio unifundishe sasa niwe rubani mzuri🤣huko utapotea namimi sitaki nikupoteze dipresheni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unifundishe sasa niwe rubani mzuri🤣huko utapotea namimi sitaki nikupoteze dipresheni.
Hakunaga rubani mzuri, wote walishapotea hawa unaowaona ni wapyaNdio unifundishe sasa niwe rubani mzuri🤣
Basi acha tu nikapotee.Hakunaga rubani mzuri, wote walishapotea hawa unaowaona ni wapya
Sawa karibu nikupotezeBasi acha tu nikapotee.
Tunaanza lini darasa?Sawa karibu nikupoteze
Ndio useme weweTunaanza lini darasa?
Leo leo, hakuna kupoteza muda.Ndio useme wewe
Darasa liwe wapiLeo leo, hakuna kupoteza muda.
Pale karibu na ofisi za Ali Kamwe.Darasa liwe wapi
Ulisema sasa hivi sioPale karibu na ofisi za Ali Kamwe.
Hapana, sasa hivi nimevimbiwa. Hadi kesho.Ulisema sasa hivi sio
Ww uko wizarani unakula maishaBinafsi
Ni kweli mishahara kidogo tunapata
Nashauri tuwekeze kwenye sekta ya mifugo naona inamwelekeo
Maisha ya KWELI
Wizara ya maji sometimes yes sometimes no.. client eti mkubwa ni ruwasa ambaye kwa mwaka huu na yeye analia njaa km tanroad...program iliyotuwek mjini kdg ni ya visima vya mama kila Jimbo je isingekuepo hali ingekuajeWw uko wizarani unakula maisha
Kesho yenyewe ndio hii sasaHapana, sasa hivi nimevimbiwa. Hadi kesho.