Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Habari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa

Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
🙏🙏🙏
Kama unadhani elimu ni ghali …. Jaribu ujinga

HUU NDIO UJINGA WENYEWE
 
Sina experience kuhusu ajira serikalini lakini nina uzoefu kwenye ajira za sector binafsi

Kwakweli kuona mafanikio halafu umeajiriwa basi lazima uwe na njia zingine za upigaji iwe halali au haramu
 
IMG_2809.jpeg
 
Yani asije akatokea mtumishi akajinadii Sasa unasain mkataba ngazi ya mshahara ni 500,000-700,000 nahaupo unambiwa unanza na hiyo mia tano utakapo zidi kukaa muda mrefu ndioutaongezewa kidogo kidogo mpaka kikomo iwe 700😭 lakin bado hujapiga hesabu ya makato .ukijaribu kufurukuta unambiwa tunakuunga sijui na pssf ambapo utakatwa Kila mshahara ukingia Sasa wewe umenipa kazi unanipangiaje ela yangu unakata unapeleka wapi mbona ?? Hela yenyewe ndio hyo ndogo mtu ataishije.

Alaf unakutana na mtuu anakuambia uwe mwadilifu kazini usiibe kwelii ?? Sijui acharushwa ??

Watumishi mnateseka sana
 
Habari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa

Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
🙏🙏🙏
Wewe unaweza vaa vizuri Kwa mamikopo?
 
Habari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa

Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
🙏🙏🙏
Unasema kweli mkuu,ndo maana rushwa zimetawala sana kwao,utasikia hata kukutafutia faili lako mahala fulani ,anakwambia vpi hela ya soda ipo??,.watu hawana ubunifu kabisa wakujijenga na kufikiri vyema,kutwa nzima ni hali hizo tu,kukimbizana na hongo kadhaa,hakuna customer care at all!!!,hadi unyooshe mkono.
Huwa mwaona hata wanaostaafu uchoka haraka huku mitaani,maana hawakuzoea mazingira hayo,.hawawezi kujitegemea totally.
 
Back
Top Bottom