Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nini mbona unalia au posho zimekuzidia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini mbona unalia au posho zimekuzidia?
Kama unadhani elimu ni ghali …. Jaribu ujingaHabari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa
Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
🙏🙏🙏
Mtugawie na sisi wa sekta binafsi, msile wenyewe.Posho kama zoteeee🤣🤣🤣🤣
Mzee fungu la kumi ni muhimu sana 🤣Then nikamwambia asisahau kutoa fungu la 10 (hapa nilimkata fix sababu mimi sitoagi)....😂
Kwenye hili.... naona nahiyaji maombi kwakweli...😜Mzee fungu la kumi ni muhimu sana 🤣
Unalipa kama unacheza rafu huwez niambia unawatoto wawili umepanga alaf unategemea laki 6 ambayo ikikatwa inabaki laki 4Usisikilize maneno ya watu. Utumishi wa umma unalipa mkuu,ni akili tu ya mhusika kucheza na fursa na matumizi ya pesa azipatazo
Wewe unaweza vaa vizuri Kwa mamikopo?Habari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa
Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
🙏🙏🙏
Unalipa kama unacheza rafu huwez niambia unawatoto wawili umepanga alaf unategemea laki 6 ambayo ikikatwa inabaki laki 4
Unasema kweli mkuu,ndo maana rushwa zimetawala sana kwao,utasikia hata kukutafutia faili lako mahala fulani ,anakwambia vpi hela ya soda ipo??,.watu hawana ubunifu kabisa wakujijenga na kufikiri vyema,kutwa nzima ni hali hizo tu,kukimbizana na hongo kadhaa,hakuna customer care at all!!!,hadi unyooshe mkono.Habari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa
Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
🙏🙏🙏
Njoo uchukue.Mtugawie na sisi wa sekta binafsi, msile wenyewe.
Upo wapi nipunguze japo dipresheniNjoo uchukue.