Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Umaskini ndani ya utumishi wa umma

Sometimes ni kweli,ukiwa kitaa upo huru ni nguvu zako tu unaweza piga mpaka 50,000 kwa siku

Ingawaje watumishi wana uhakika wa maisha iwe mvua iwe jua

Na kabima uchwara nako kanawabeba
Uzuri wa ajira ni security tu basi ila hata dereva bajaji akiwa na juhudi na nidham ya fedha anamuacha mbali sana muajiriwa.

Ukitaka ujichimbie kaburi lako kwenye ajiriwa kwa mshahara mdogo alafu usijiongeze kutafuta kipato nje ya mshahara, utakufa masikini huku ukiishia kuvaa nguo zilizonyooshwa.

Wenye maduka ya mangi wanawajua vizuri sana.
 
Huyo nesi yupo kwenye dispensary za watu?
Serikalini sema mikopo isiyo na tija maana unachukua mkopo kununua kiwanja au kujenga na sio kuanzisha biashara huu ndio umasikini wenyewe.

Uliona wapi pesa ya mkopo inazikwa sehemu? baada ya kuzunguka?

Mtumishi hata akianzisha biashara usimamizi zero hana skill na biashara kiufupi watumishi wengi ni masikini

Naweza sema Kati ya 100% 90% ni maskini wa kipato na fikra!!
 
Habari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa

Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
🙏🙏🙏
We ni zombie kweli, wivu tu unakusumbua baada ya kutokuwa na sifa ya kupata hizo nafasi. Kaa na ujinga wako km ulivyouchagua.
 
Sometimes ni kweli,ukiwa kitaa upo huru ni nguvu zako tu unaweza piga mpaka 50,000 kwa siku

Ingawaje watumishi wana uhakika wa maisha iwe mvua iwe jua

Na kabima uchwara nako kanawabeba
Nawe unaingia kwenye mitego ya wapumbavu? Kwanza ijulikane kila kazi lazima iwe na wa kuifanya, huyu ana stress ya kukosa hizo nafasi, pilipili usisozila za kuwashia nini? Awashauri saidia fundi na wazibua vyoo. Na wapakia taka je? Huo anaumwa ni wa kupuuzwa
 
Nimwkua mtumishi kwa miaka 25 sasa.
Daily nachamba koo, watoto wote 8 wanasoma shule nzuri, nyumba nimejenga, ndinga naaukuma, ndugu wananitegema na sina mpango wa kuachana na utumishi zaidi najiandalia shamba la kwenda kumalizia uzee wetu pindi tutakapo staafu kwa mapenzi ya Allah
 
Vidole havijawahi kulingana, waulize waalimu waseme yao ya moyoni

Mwl To yeye kuna ukweli hapa?
Atoto dipresheni je? Hadi wengine wanataka wabadili fani wawe marubani😂
Mkuu hata sisi tulioko huku mtaani vidole havilingani, kuna muda naona bora hata hao wanaopokea hiyo mishahara midogo na kuokoteza posho za hapa na pale
 
Mkuu hata sisi tulioko huku mtaani vidole havilingani, kuna muda naona bora hata hao wanaopokea hiyo mishahara midogo na kuokoteza posho za hapa na pale
Excellent....
Juzi nilikua namwambia kijana wangu (ndio kwanza ameajiriwa) kwamba... afanye kazi kwa weledi, bidii, nidhamu na asiache kumuomba Mungu.
Then nikamwambia asisahau kutoa fungu la 10 (hapa nilimkata fix sababu mimi sitoagi)....😂
 
Ukichukua idadi ya watumishi na watu wa kitaa,ipi idadi kubwa wanaoingiza 50,000 kwa siku

Kwangu mimi nitakuambia watu wa kitaa ni wengi sana wanaoingiza hyo hela ukilinganisha na watumishi
Kwani kitaa mko nyie jobless pekee, mtumishi anapiga kotekote, ana mshahara na kitaa anapambana, na anaajri pia, waajiriwa ni Omnipresent (wanapiga kotekote)😆
 
Habari Wana JF
Sinamengi yakusema ila kama unapambana kitaa pambana usihangaike na ajira za serikalini utaumia, Hawa watumishi wa uma wanao vaa vizuri huku mtaani msiwaogope Wala msitamani maisha Yao wamejawa na stress hatari wanajutia kujingiza katika utumwa,wanajutia kuwa wavivu wakufikiri,wanajutia kupoteza muda wakusoma, wamebakiza mdaa mchache wakuchanganyikiwa tuu .
Huwez niambia mtumishi wa umma unamlipa laki tano nabado anamakato kibao huyumtuu anaishije hatakama Hana familia anaishije.
-hajalipa kodi
-hajatoa nauli
-Hajala
-Hajavaa

Vijana pambaneni msijisumbue na ajira hamna maisha yeyote nistress tuu huyu mtumishi unaemuona mtaani ukicalculate mshahara wake per day ikizidi sana anapata 13000-14000 usimuone anavaa vizuri nimikopo ndioinambeba
Pambaneni na vijiwe vya chips mtatoboa,endesha hata toyo utatoboa serikalini unapewa tuu ela yakula basi.
Usipo jituma utatumiwa
[emoji120][emoji120][emoji120]
Umeliwaka sawa watumishi wengi ndo wanao leta poverty katika mjini hali yao sio nzuri japo wanawwza kuficha umasikini wao mifuano ni mkngi sanaa.
 
Back
Top Bottom