Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,800
Reaction score
2,339
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
 
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun
Watoto wengi ni kujitakia shida mwenyewe katika maisha haya ya sasa
 
Umaskini upi na mabilioni yanaibiwa kila kona na wajinga wachache ambao tumeaminishwa ni mawaziri 😂😂😂!

Siku ambayo tutahakikisha V8 haziendesheki na nyumbani kwa hao madhalimu hakukaliki ndo siku ambayo tutaheshimiana vizuri.
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Ngoja Wal jamaa wanaopenda ugali waje.
 
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun
Tunajivunia upole na uoga wa watz ila sio total amani japo ipo
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
You are brain washed.......urban poverty ya ulaya ni hatari kuliko poverty ya Africa licha ya kua na watoto wawili au mmoja, hamna relation ya aina yoyote kati ya utajili na idadi ya wstoto, mawazo ni western philosophy full of bias to Africa.
 
Screenshot_20220816-202231.png
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Ukute waliotangulia wangeishi HIVYO unavyodai si ajabu tusingeona huu ushauri WAKO kwani yawezekana hata Baba yako asingezaliwa

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun
UMASIKINI wa NCHI hii unatokana na Serikali ya
Ccm na Viongozi wake
Tanzania Neno umasikini na Masikini hawataisha wala Kupungua kutokana na Aina ya Viongozi tulionao
Kitu pekee kinachoweza kuondoa au KUPUNGUZA Umasikni ni pamoja na KATIBA MPYA itakayoweza kuwadhibiti Viongozi wa Ccm Na Serikali kutumia vibaya Raslimali na Fedha za Serikali ambazo ni KODI za Hao Masikini wa Nchi hii Bila Katiba Mpya Umasikini utaendelea Milele na Milele.
 
Wewe na mimi, labda na walalahoi Fulani tunafikiria maendeleo. Wanaopaswa kutuongoza njia ya kufikia maendeleo wanawaza masuala tofauti kabisa- kuuwa upinzani, kudumu madarakani mile, kuneemesha watoto na ndugu zao, kuhujumu/kuiba fedha na mali za imma nk, nk.
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun
Oi
 
Back
Top Bottom