Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

Viongozi ndio watu wa kwanza kabisa kulaumiwa katika hili, Kila kitu wanacho mikononi mwao lakini daima wamechagua kujinufaisha wao kuliko nchi
ndio maana unashangaa pamoja na madini yote tuliyonayo na rasilimali zingine zote tulizo nazo kabla hata uhuru zimeshindwa kutu nufaisha kwa usahihi,
eti hadi Leo bado kuna mahali hapa nchini kuna ndugu zetu bado wanatumia maji ya vidimbwi ambayo yalipaswa kutumiwa na wanyama
Bado kuna maeneo wanatembea kilomita za kutosha kwenda shule na zahanati
Nakubali kwamba serikali imejitahidi kufanya mambo mengi mazuri lakini walipaswa kufanya zaidi kutokana na utitiri wa rasimali tulizo nazo
Viongozi wanatokea kwenye jamii isiyojielewa,exceptions wana
Viongozi ni policy makers ukielewa hiyo utajua ninachosema
Policy make unazaliwa nayo au inatokana na maandalizi yaliyopo?

Umpe elimu mbovu utegemee sera nzuri si ndio? Unaona inawezekana?

Ndio wenzenu walioendelea walipeleka watu wao wakapate kitu Kipya huko kwa walioendelea then wakrudi kuja kujenga na ku instill altitude nzuri za maendeleo.
 
Shida inaanzia juu.
Alivyo wajuu wachini huakisi mienendo yake.
Ukishikilia na kuwa mfuasi wa "UHABA"
Utaiba hutotosheka utakachokuwa unaona akilini mwako ni vinaniishia.
Wezi Kuanzia juu Hadi chini hapa ni kuviziana TU.
Kingi kinaishia kwa wachache
 
Tumelaaniwa 🤔🤔
Mustakabali wa maisha yetu tumekabidhi kwa watu wachache wachache (wanasiasa) na tumemwacha MUNGU.
Wao ndo waamue kesho yetu (tule Nini,tuvae Nini, tuishije).

Ndo Mana wamejaa viburi, fitna, chuki, husda unafiki na dharau na uantachable istoshe hawana majibu ya maisha yetu.

Na MUNGU analijua Hilo ndo Mana ametuacha..
(Yer 17:5-7)
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Inalinganishwa gharama na mfumo wa malezi ya mwafrika na mzungu ama mchina?

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Sina jibu la moja kwa moja. Lakini chukua mtu mmoja kila bara waweke msituni kila mtu sehemu yake wasiwe na mawasiliano wala msaada wowote kutoka nje waanze maisha bila msaada.

Wape miaka miwili rudi uone kipi kimetokea.

Utapata jibu kwanini kuna masikini na wasio masikini.
 
Wananchi kwakuwa wavivu na baadhi yao hawajitumi .
Nchi inapanda kwa uchumi mzuri ambao unatokana na biashara za wananchi .
Ila tozo pia inakwamishaga maendeleo ya nchi kama inakuwa kubwa kwahiyo .
1.tozo
2. Uvivu
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Logic ipo hapa..... tatizo kubwa la africa ni namna ya ku_control family planing.
Huna zaa watoto then wanakosa msingi na ndo matokeo ya umasikini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerer
Viongozi wanatokea kwenye jamii isiyojielewa,exceptions wana

Policy make unazaliwa nayo au inatokana na maandalizi yaliyopo?

Umpe elimu mbovu utegemee sera nzuri si ndio? Unaona inawezekana?

Ndio wenzenu walioendelea walipeleka watu wao wakapate kitu Kipya huko kwa walioendelea then wakrudi kuja kujenga na ku instill altitude nzuri za maendel

Logic ipo hapa..... tatizo kubwa la africa ni namna ya ku_control family planing.
Huna zaa watoto then wanakosa msingi na ndo matokeo ya umasikini...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew umekaririshwa na wazungu kuwa watoto wengi kuzaa Sana ni umaskini.

Ebu niambie nguzo ya maendeleo yaani nchi yeyote ili iendelee unatakiwa kuwa na nini? China watu wangapi duniani? India in watu watu wangapi?

Fikiri vzr usikaririshwe matango pori na wazungu.

Je unajua idadi ya watu kwa square kilometer ulaya Asia na America linganisha na kwetu.

Kuna kitu hakijakaa vzr lazima tufikiri shida yetu tunasaidiwa kufikiri. Kuna majitu yako ulaya yanafikiri kuwa niaba yetu alafu tunakuja kuwajaza watu wetu ujinga.

Kama huu was idadi ya watu eti nitatizo.

Watu ni mali tunataka a tuwatumie watu nchi kujiletea maendeleo.

Viongozi wanatakiwa kubadili fikra na kufanya watu kuwa mali Kwa kufanya vijana kufanya kazi ili kubadili hali ya maisha
 
Back
Top Bottom