Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

Umaskini upi na mabilioni yanaibiwa kila kona na wajinga wachache ambao tumeaminishwa ni mawaziri [emoji23][emoji23][emoji23]!

Siku ambayo tutahakikisha V8 haziendesheki na nyumbani kwa hao madhalimu hakukaliki ndo siku ambayo tutaheshimiana vizuri.
Umaskin wetu umeletwa na maccm kwa kiwango kikubwa.
Viongozi wanawazia matumbo Yao.
Rushwa kubwa
Utapeli mkubwa.
Ni waongo San
Ni wezi.
Ni wajinga wajinga
Wengi wao ni vilaza.
Uwezo mdogo wa kupambanua mamb
Ni matapeli


Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun
NI CCM
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Hiyo hoja yako ni mfu na ukweli umetonyesha Sehemu iliyo na idadi kubwa ya watu ndiyo iliyoendelea mfano Kanda ya Ziwa,Kaskazini na Mashariki.Vile vile nchi zenye raia wengi ndizo zilizoendelea mfano:Marekani,China,India,Brazil,England,Misri,Afrika ya Kusini,Nigeria na Kenya.
 
Kwa sababu western wameandika hivyo basi nawe unaona ni kweli.western walipoanzisha mfumo wa kibepari ilikuwa ni lazima wauponde mfumo wa ujamaa ili kuhakikisha mfumo huo unasambaa duniani,lakini sio kweli kwamba ndio chanzo cha umaskini.
Haya viwanda vyote tulivyokuwa navyo wakati wa ujamaa-vimepelekwa wapi ulipoanza ubepari??
Wasichokijua mapependekezo ya IMF, WB na Washington Consensus yamesababisha nchi nyingi zinazoendelea kukwama mpaka leo tangu economic liberalization iliyofanyika miaka 1980s, tumekuwa tegemezi zaidi.

China walifanya mageuzi ya kiuchumi lakini WALIKUWA hawataki kabisa kufuata ushauri wa IMF na WB

Thailand iliwalazimu kuachana na mapendekezo ya IMF baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya mwaka 1997 kwenye financial crisis ya asia

Wakati Korea Kusini ikiwa masikini kama sisi miaka 1960s, waliomba mkopo World Bank kwa ajili ya kuunda kiwanda cha chuma, WB ikagoma ikasema nchi maskini kama korea kusini haina uwezo wa kuendesha mradi huo huku wakionyesha nchi zilizo feli kama Brazil wakati huo kwenye chuma

Jamaa wakapata msaada wa pesa kutoka Japan kama faini ya unyanyasaji kipindi cha ukoroni, hela yote ikapelekwa kutengeneza kiwanda cha chuma kinaitwa POSCO, leo hii POSCO ni kiwanda cha sita duniani kwa uzalishaji wa chuma duniani na mpaka miaka ya 80 kiwanda kilianza kutengeneza faida kubwa

Korea Kusini na Taiwan hazikufuata ubepari kama vile inavyoelezewa na USA.
Walikuwa wanachanganya sera za kijamaa na kibepari, ndio maana asia utakuta viwanda vinavyomilikiwa na serikali pia
 
Kuanzia viongozi mpaka wananchi wote ni taralila zeze
 
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun
Nirshisi kusema kwakuwa kizazi hiki hakuna alie vaa kaniki au kutoa funza kwakukosa viatu ila hili Taifa limetoka mbali sana
 
Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.

Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.

Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?

Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.

Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.

Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia

Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?

Tusaidiane shida iko wap karibun

Mimi nadhani ni umaskini wa wasfrika wote, nani alaumiwe, siyo wetu peke yetu.
 
ccm na viongozi wake maana tangu tumepata uhuru ni wao na kwa kuangalia wengi ndoo matajiri wapiga kura ndio wamebaki maskini
 
Kwa sababu western wameandika hivyo basi nawe unaona ni kweli.western walipoanzisha mfumo wa kibepari ilikuwa ni lazima wauponde mfumo wa ujamaa ili kuhakikisha mfumo huo unasambaa duniani,lakini sio kweli kwamba ndio chanzo cha umaskini.
Haya viwanda vyote tulivyokuwa navyo wakati wa ujamaa-vimepelekwa wapi ulipoanza ubepari??

Lakini Rais Samia amekuja kuleta mapinduzi ya maendeleo mpaka vijijini miundombinu imeboleshwa maji mpaka vijijini umeme unapatikana mpaka vijijini kwaiyo tutegee makubwa zaidi
No
 
Wasichokijua mapependekezo ya IMF, WB na Washington Consensus yamesababisha nchi nyingi zinazoendelea kukwama mpaka leo tangu economic liberalization iliyofanyika miaka 1980s, tumekuwa tegemezi zaidi.

China walifanya mageuzi ya kiuchumi lakini WALIKUWA hawataki kabisa kufuata ushauri wa IMF na WB

Thailand iliwalazimu kuachana na mapendekezo ya IMF baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya mwaka 1997 kwenye financial crisis ya asia

Wakati Korea Kusini ikiwa masikini kama sisi miaka 1960s, waliomba mkopo World Bank kwa ajili ya kuunda kiwanda cha chuma, WB ikagoma ikasema nchi maskini kama korea kusini haina uwezo wa kuendesha mradi huo huku wakionyesha nchi zilizo feli kama Brazil wakati huo kwenye chuma

Jamaa wakapata msaada wa pesa kutoka Japan kama faini ya unyanyasaji kipindi cha ukoroni, hela yote ikapelekwa kutengeneza kiwanda cha chuma kinaitwa POSCO, leo hii POSCO ni kiwanda cha sita duniani kwa uzalishaji wa chuma duniani na mpaka miaka ya 80 kiwanda kilianza kutengeneza faida kubwa

Korea Kusini na Taiwan hazikufuata ubepari kama vile inavyoelezewa na USA.
Walikuwa wanachanganya sera za kijamaa na kibepari, ndio maana asia utakuta viwanda vinavyomilikiwa na serikali pia
Safi Sana tunataka hoja Kama hizi yenye mashiko
 
Tusipobadili mentality yetu hasa viongozi hatutoki kwenye umaskini kwa sababu ulaya na marekani tumewafanya watu wenye msaada hasa kwenye elimu wakati wanatuzika
 
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe.

Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.

Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.

Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.

Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Na hapo hujalundikiwa na watoto wa ndugu wafyatuaji na wale waliobaki yatima......lazima ukae.
 
Tusipobadili mentality yetu hasa viongozi hatutoki kwenye umaskini kwa sababu ulaya na marekani tumewafanya watu wenye msaada hasa kwenye elimu wakati wanatuzika
Viongozi wanazaliwa na kukuzwa kwenye jamii yetu hii hii,so sio swala la viongozi bali ni swala la jamii yote.
 
Back
Top Bottom