Umati wa watu takriban 300,000 waandamana mji wa Marekani kuunga Israel mikono

Umati wa watu takriban 300,000 waandamana mji wa Marekani kuunga Israel mikono

Mungu wa wayahudi si USA na EU

Alianza kuwalinda na mazombi ya dini yenu tang hata kabla USA haijawa nchi, soma historia itakusaidia...
 
Halafu waarabu wanawagonga sana mabinti wa kizungu huko ulaya, karibia kila familia ya kizungu ina damu ya waarabu

Muarabu aliyezaliwa au kuchanganya na wazungu kwenye damu huwa hana uzombi wa kidini, wengi ni wastaarabu.
Wanaozingua ni wale wamekwenda na kukaa kivyao bila kutengamana na watu wengine, wanakua bado wamesheheni chuki walizopokezwa na dini yao.
 
India nayo kuna raia waliandamana kuiunga mkono israel. Ukiona maandamano ya kuunga mkono hamas popote pale duniani ujue hao ni waislam tu. Tayari ulaya na amerika kuna waislam wengi huandamana kuunga mkono ndugu zao wa imani katika dini
 
India nayo kuna raia waliandamana kuiunga mkono israel. Ukiona maandamano ya kuunga mkono hamas popote pale duniani ujue hao ni waislam tu. Tayari ulaya na amerika kuna waislam wengi huandamana kuunga mkono ndugu zao wa imani katika dini
Wanavyuo wamelipwa $250 kila mmoja,na kugharamiwa usafiri
 

Hayawi hayawi huwa; Makomando wa IDF waanza kuingia kwenye hospitali, mpambano unaendelea​

Uharo mtupu.
 
Israel kamatia hapo tu...
Hauwezi kuiondoa Israeli kwenye ramani ya dunia, amini usiamini itakupa tabu...Bahati Bukuku


View: https://www.youtube.com/watch?v=vbRCT38Y-Gs

AP23318681937519-e1699994045912-640x400.jpg


Nearly 300,000 people rallied in Washington on Tuesday at the March for Israel, calling for the release of the hostages held by terrorists in Gaza and invoking the Holocaust while condemning Hamas’s October 7 onslaught with a cry of “Never Again.”

Conference of Presidents of Major American Jewish Organizations CEO William Daroff said over 290,000 people attended the event, making it the largest pro-Israel gathering in US history.

Buses and flights to the US capital were organized by local Jewish federations, schools, synagogues, Israeli expatriate groups and Jewish community centers, while many more made their own way to the March for Israel.

TEXAS STANDS WITH PALESTINE!
 

Attachments

  • twidown.mp4
    2.9 MB
Wanavyuo wamelipwa $250 kila mmoja,na kugharamiwa usafiri
kwani huko nako wanafanya kama chama chenu kukusanya watu kwenye mikutano yao ili waonekane wengi? Sidhani kama muislam atapokea hela ili aisapoti israel kwenye maandamano ya kuinga mkono
 
kwani huko nako wanafanya kama chama chenu kukusanya watu kwenye mikutano yao ili waonekane wengi? Sidhani kama muislam atapokea hela ili aisapoti israel kwenye maandamano ya kuinga mkono
Habari mbona ipo mtandaoni,wazayuni wametoa Dola 250 kwa waandamanaji,wengi wanafunzi,ili kuchuna uso wa uzayuni ambao umechafuka kwa maandamano dunia nzima
 
Back
Top Bottom