Umati wajitokeza kutia nia kwenye Ubunge na Udiwani kupitia CHADEMA, nafasi zimejaa kabisa

Umati wajitokeza kutia nia kwenye Ubunge na Udiwani kupitia CHADEMA, nafasi zimejaa kabisa

Mkuu unakuwa na mihemko sana, je thathmini za athari kitu chochote zinafanyia mwisho wa au mwanzo wa tukio?
Sasa mifano iko all around us kwa nini tusubiri kitu ambacho kiko wazi

Hiyo ndio approach ya Do nothing wait and see ya Magufuli ina madhara makubwa sana kiuchumi na kijamii
 
Sasa mifano iko all around us kwa nini tusubiri kitu ambacho kiko wazi

Hiyo ndio approach ya Do nothing wait and see ya Magufuli ina madhara makubwa sana kiuchumi na kijamii
Kwetu(Tanzania) ni mapema mno kwasasa kujua au kupata thamini za athari kiuchumi na kijamii labda hadi tukifika june to july na huu ugonjwa.

Be patient serikali ipo makini sana.
 
Kwetu(Tanzania) ni mapema mno kwasasa kujua au kupata thamini za athari kiuchumi na kijamii labda hadi tukifika june to july na huu ugonjwa.

Be patient serikali ipo makini sana.
Mbona Nchi nyingine zimefikia hadi hatua za kuruhusu wananchi wao wasilipie Umeme kwa miezi miwili

Wewe unafikiri hii Approach ya Do nothing ya Magufuli itazaa matunda siku za usoni
 
Mbona Nchi nyingine zimefikia hadi hatua za kuruhusu wananchi wao wasilipie Umeme kwa miezi miwili

Wewe unafikiri hii Approach ya Do nothing ya Magufuli itazaa matunda siku za usoni
Nchi nyingine kama zipi mkuu?
 
Hii ni Taarifa kutoka kwa John Mrema ambaye ni mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, Ikumbukwe kwamba Chadema iliweka utaratibu kwa wanachama wake wote wanaotaka kugombea nafasi hizi kujitokeza mapema kutia nia kwenye chama chao ili usaili ( Vetting ) juu yao uanze mapema, lengo likiwa ni kutoa nafasi kwa viongozi kuwafahamu kiundani Wagombea hawa kabla ya kuwapa nafasi za kugombea.

Nafasi zote za ubunge na udiwani kwenye majimbo na kata zote nchi nzima, hakuna mtia nia ambaye yuko peke yake, yako majimbo ambayo kuna watia nia ya ubunge kuanzia watatu hadi watano!

Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?

# TUENDELEE KUNAWA MIKONO ILI KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA .
Hongera wanachama wa CHADEMA kuitikia huo mwito kama ni kweli nafasi zimejaaa[emoji853]

Ushauri tu, watakaopitishwa kugombea wapewe elimu ya kujaza form zinazotolewa na Tume ya Uchaguzi
 
Mbona Nchi nyingine zimefikia hadi hatua za kuruhusu wananchi wao wasilipie Umeme kwa miezi miwili

Wewe unafikiri hii Approach ya Do nothing ya Magufuli itazaa matunda siku za usoni
Kwa hiyo wasipolipia umeme hawapati corona
 
Kwa hiyo wasipolipia umeme hawapati corona
Hoja yangu ushauri wangu ni kutokana na janga hili la corona na mdororo wa uchumi wananchi wapunguziwe mzigo kwa kutolipa bili ya umeme hata kwa miezi miwili huo ulikuwa ni ushauri tu.
 
Hii ni Taarifa kutoka kwa John Mrema ambaye ni mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, Ikumbukwe kwamba Chadema iliweka utaratibu kwa wanachama wake wote wanaotaka kugombea nafasi hizi kujitokeza mapema kutia nia kwenye chama chao ili usaili ( Vetting ) juu yao uanze mapema, lengo likiwa ni kutoa nafasi kwa viongozi kuwafahamu kiundani Wagombea hawa kabla ya kuwapa nafasi za kugombea.

Nafasi zote za ubunge na udiwani kwenye majimbo na kata zote nchi nzima, hakuna mtia nia ambaye yuko peke yake, yako majimbo ambayo kuna watia nia ya ubunge kuanzia watatu hadi watano!

Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?

# TUENDELEE KUNAWA MIKONO ILI KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA .
Fanua zaidi
jimbo gani kuna wagombea gani
 
Niambie viwanda au biashara ngapi vimeathiriwa na hii so called pandemic?

Mbona mnapenda kukuza mambo? Maana huko USA kwenye cases nyingi sijasikia wakitangaza stimulus package. Nahisi utakuwa mpigaji unatafuta pesa za bure kwa kisingizio cha Corona, kumbuka JK alitoa stimulus package kipindi chake, zilinufaisha mini?
Kwamba hakuna viwanda na biashara zilizoathirika kutokana na hii pandemic?..me nakupa ya jana tuu ya kiwanda cha Mazava Morogoro nyingine tafuta ww,hadi mfumo wa elimu umeathirika huoni?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Hii ni Taarifa kutoka kwa John Mrema ambaye ni mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, Ikumbukwe kwamba Chadema iliweka utaratibu kwa wanachama wake wote wanaotaka kugombea nafasi hizi kujitokeza mapema kutia nia kwenye chama chao ili usaili ( Vetting ) juu yao uanze mapema, lengo likiwa ni kutoa nafasi kwa viongozi kuwafahamu kiundani Wagombea hawa kabla ya kuwapa nafasi za kugombea.

Nafasi zote za ubunge na udiwani kwenye majimbo na kata zote nchi nzima, hakuna mtia nia ambaye yuko peke yake, yako majimbo ambayo kuna watia nia ya ubunge kuanzia watatu hadi watano!

Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?

# TUENDELEE KUNAWA MIKONO ILI KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA .
Kuna nafasi kubwa ya CDM kufanya makubwa na kuleta ukombozi dhidi ya uimla uliopo.
 
Back
Top Bottom