Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Ndio mana kundi lingine la wayahudi wslizinguana na bwana musa wakafuata njia yao to western africa na kusini mwa jangwa la sahara

Usiniulize how uliza kwanza kwa nini historia ya africans inaanzia 1600's and not before
 
Ni wakati sasa wa kuunda jopo litakaloongozwa na wewe,na watu wengine watano...mpande [HASHTAG]#pangaboi[/HASHTAG] si tumeambiwa zinatua mazingira magumu! Mpite route msafara wa wana Israel walipita ili kubaini ni nini kiliwachelewesha na kujua kama walianzisha miradi yoyote njiani...isijekuwa ndiyi janja waliotumia kung'oa tembo wetu meno ha ha haa!
walipita hukohuko chini kwa chini hamna cha kifusi wala nn
hivi baada ya bahari kutenganishwa, kile kina cha bahari nani alikijaza kifusi mpaka kufikia ground level? [emoji53] [emoji53]
 
Zamani nilifundishwa kuwa wanahistoria wana dhania kuwa hawa watu walipita njia ya mbali na kuna possibility ya kuwepo kwa njia karibu tatu za wao kufika Israel ila hawa kwenda moja kwa moja.

Nilivo fundishwa ni enzi hizo ni kuwa hawa jamaa walikuwa gosheni kutoka gosheni mpaka Misri kwa kutembea inadhaniwa ni inachukua mwezi mmoja tuu.
Lakini hawakupita huko walikuja chini huku kufuata mto naili, wali pita mpaka bahari nyekundu ambako ni mbali sana, baadaye walikatisha wakaenda mpaka mlima sinai unao dhaniwa kuwa uko saudi arabia, walikuwa wakizunguka jangwani sana then wakapandisha mpaka bahari ya chumvi wakaja kushuka kidogoogo
Ndio wakaingia yeriko na kaanan

Sasa humo njiani walipiga kambi, walipigana vita na mambo kadhaa, niliambiwa kuwa lengo la Mungu lilikuwa ni kuhakikisha kizazi chote kilicho toka Misri kina fia kaanan na wanao ingia kaan ni watu wapya na kweli waliotoka Misri walifika wa wili tu , joshua na mwenzie.
Pia wana sema hii iliwasaidia hao waisraeli kwani walitengeneza jeshi, walitengeneza uongozi , silaha na vikosi vya upelelezi vililifanya kuwa taufa lenye nguvu kwa nyakati hizo, toka siku ya kwanza

*hivo ndo nijuavo marekebisho yata pokelewa, ila ukitaka kuipata stori hii inatakiwa uijue miji ya zamani ya.middle east karibu yote

Cc Deadbody

Cc nanya
wanahistoria haohao wakija wakikwambia hakuna proof yoyote ya existence ya Yesu utakubali? sasa kama hutakubali kwanini umuamini mwanahistoria? so mnaamini kinachowapendeza nyie kisichowapendeza mnakipuuzia hata kama ni cha kweli? hatari sana.
 
Umbali kutoka Misri kwenda Israel ni kilomita 623 tu. Lakini Musa na kundi lake (wana wa Israel) walitumia miaka 40 kutembea hadi kufika nchi ya ahadi. Huu ni wastani wa kilomita 15 kwa mwaka, sawa na kilomita 1.25 kwa mwezi. Hii ni sawa na mita 42 tu kwa siku, yani umbali nusu ya uwanja wa mpira.

Moderators , mnamba ya simu ya Musa umlete hapa ajieleze, huu uvivu waliutoa wapi.

Sipendagi ujinga
Mungu anakuona
 
.Namba ya Musa
现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本现在,你至少开始学习日语字母,让我们来现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本习一些基本 词汇和现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本现在,你至少开始学习日语字母,让我们来现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本习一些基本词汇和简单的日本的日本

SIPENDAGI UJINGA MIMI!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
MUNGU YUPO HAKIKA NA HAKUNA UBISHI KWA HILO, Ila Kitu DINI Duniani HAKUNA kabisa sijakutana na DINI ya Mungu hapa duniani DINI ni matendo yako mwenyewe
 
wanahistoria haohao wakija wakikwambia hakuna proof yoyote ya existence ya Yesu utakubali? sasa kama hutakubali kwanini umuamini mwanahistoria? so mnaamini kinachowapendeza nyie kisichowapendeza mnakipuuzia hata kama ni cha kweli? hatari sana.
Haao niloo kwambia ni wana historia wa kwenye theology.

Infact hata wanao sema Mungu hayupo wana namna yao ya kujitetea
Mimi nilikuwa na muelekeza tuu kuwa makadirio ya safari hiyo si kama anavo hisi yeye.
*topic ya Mungu sasa hiyo ni nyingne na nayo ina mambo yake
 
kubwa kuliko yote ni kwamba ukichukua 1.75m ÷ 60 minutes = 2.9 cm per minute.. hivi kweli mtu ndani ya dakika anakava umbali wa sentimita 2.9?? dah huu si uongo kabisa huu mkuu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani 1.75m÷60minutes=2.9cm per minute.
Kwanza inaonekana physics ulifeli Sana. Na pia ndo mana huelewi kuhusu hilo swali lako.
Jibu la hapo ilitakiwa iwe ni (m per minutes)
Umeshaanza kuchanganyikiwa kwa kumkosoa Mungu
 
Yaani 1.75m÷60minutes=2.9cm per minute.
Kwanza inaonekana physics ulifeli Sana. Na pia ndo mana huelewi kuhusu hilo swali lako.
Jibu la hapo ilitakiwa iwe ni (m per minutes)
Umeshaanza kuchanganyikiwa kwa kumkosoa Mungu
kujifanya mjuaji ushaaribuuu.. sasa hapo nimekosea wapi we k i l a z a? huoni kama nimeconvert metre to centimetre coz ukiweka kwenye metre unapata namba ndogo sana ambayo ni 0.029 metre? ruler ina cm na inches ukitumia ruler utapataje kipimo hicho cha 0.029 metre?
kujifanya mjuaji ushaaribuuu.. sipendagi ujinga mimi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
..nyakati zimebadlika,saa unayotumia leo alikuwa nayo musa?..huu muda wa sasa umeanza lini(miezi 12 kuwa mwaka)???kuna watu tuliambiwa waliishi miaka 600 walikuwaje miili yao??.labda hiyo miaka mia sita ya zama hizo ni 60 kwa zama hizi
 
Hapo ndo utaonana umuhimu wa Tren napenda miaka irudi nyuma watu watembee miguu na magari farasi
 
umeelezea vizuri ila sio kwa uongo wa mita 42 kwa siku!!! unazijua mita 42? ubungo plaza na stendi ya mkoa mbali. sasa kweli jamani, hata kama hatutakiwi kuhoji mambo ya Mungu ila hii kweli jamani? si changa la macho kabisa hili? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jaribu kuelewa apo ameeleza Kuna wkt musa anaenda kusali hata miezi 8 wanakua hawajamove sooo hzo hesabu zako kwa siku ni lzm zigome km Kuna kipindi walikua hawatembei kbs hata hizo mita 42
 
umeelezea vizuri ila sio kwa uongo wa mita 42 kwa siku!!! unazijua mita 42? ubungo plaza na stendi ya mkoa mbali. sasa kweli jamani, hata kama hatutakiwi kuhoji mambo ya Mungu ila hii kweli jamani? si changa la macho kabisa hili? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mita 42 ni equivalent to hatua 42
 
Karibu kuelewa apo ameeleza Kuna wkt muda anaenda kusali hata miezi 8 wanakua hawajamov sooo hzo hesabu zako kwa siku ni lzm zigome km Kuna kipindi walikua hawayembei kbs hata hizo mita 42
hizo data umepata wapi weka source basi. na we kwa akili zako timamu unaamini musa alisali kwa zaidi ya miezi nane? aliua ndugu yake au babake mpaka asali miezi yote hio? ina maana baada ya hio miezi nane hakusali tena wakati kusali ni kitu continuous? yesu mwenyewe kafunga siku arobaini hata miezi miwili haifiki, ifikie wakati muwe mnajiongeza, sisi hatutaki ujinga hapa.
 
Mita 42 ni equivalent to hatua 42
mh kwa hio mita moja ni sawa na hatua moja? labda kama waisraeli walikua wanapiga hatua za kupimia penati spot.. ila kiuhalisia mita moja si sawa na hatua moja.
 
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....View attachment 403864
Kutoka Misri mpaka Israel ni 8,716km lakini sio tatizo wewe kusema 613km, issue hapo ndio ujue Mungu yupo na akiamua kukuziba macho unakuwa unaona lakini uoni.
 
Hawakwnda moja kwa moja..walikua wanaweka makazi njiani yakudumu na kuzaliana pia...
wakiona hali imekua sawa ya hewa na chakula wanacho wanaendelea kadri Mungu alivyokua anamwongoza MKUU WA MSAFARA.
 
Back
Top Bottom