Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

mh kwa hio mita moja ni sawa na hatua moja? labda kama waisraeli walikua wanapiga hatua za kupimia penati spot.. ila kiuhalisia mita moja si sawa na hatua moja.
Naendelea kufuatilia huu uzi ili niweze pata majibu ya walichokuwa wanfanya humo njiani
 
Kutoka Misri mpaka Israel ni 8,716km lakini sio tatizo wewe kusema 613km, issue hapo ndio ujue Mungu yupo na akiamua kukuziba macho unakuwa unaona lakini uoni.
acha u k i l a za.. google distance from egypt to Israel kama haiji 613 km, sijawahi kuona mtu anatengeneza uongo kuulinda ukweli.. nasemaga spendi ujinga kabisa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jiulize wakati yusufu anawaamuru kaka zake kumfuata baba yao yakobo ilikuwa safari ya ngapi? Je walitumia 40yrs? Kumbe hujasoma Maana ungebaini kwa nini walitumia 40yrs. Wakati was kwenda misri siku kadhaa.
 
Huyu jamaa nahisi kama hajamaanisha kama watu wslivyoshabulia ku comment, sababu biblia ipo wazi kama amesoma majibu yote yapo KUTOKA na YOSHUA na kama unavyoona hadi ile ramani aliyoattach inaonesha jinsi walivyozunguka na KUCHELEWA KUFIKIA MAFANIKIO yani walizunguka saaaaana wakati njia ni fupi ndio baadae mjue sababu kwanini ilikua hivyo, nahisi hili suala mlitazame katika maono ya mtoa mada na SIASA YA TZ huenda ndio kiini chake kilipo.ni mtazamo wangu tu.
 
Kasome vizuri Kutoka, hawakutembea consecutive. Kuna sehemu waleweka kambia hata miaka 5 na zaidi. Kuna sehemu walisubiri mpaka washinde vita ndio wapite. Walipambana na makabila mengi njiani ambayo yaliwafanya kukaa sehemu muda mrefu bila kutembea.
 
The Best Coment. Kwa amri ya mahakama Musa kwokwote aliko hai au mfu eletwe ajibu hili. For 40 yrs only 630 km?
 
Halafu mambo ya MUNGU kama haya usiyalete kwenye jukwaa la utani na usiyaelezee kiutaniutani.
Eti sipendi ujinga,ndiyo nini sasa?
Ujinga sio utani mkuu, just lack of information.
 
Mtu msomi hawezi kuuliza huo ujinga. Tangu lini wachungaji waka wataalam wa kujua mafanikio ya kidunia? Na kama kweli wewe unasoma kila kitu ungejua watu wengi waliofanikiwa wakiwa na umri zaidi ya miaka 40.

Mkuu sikushangai upeo wako na elimu yako,sio makosa yako. Tatizo ccm!
 
Duh...watu mnamasihara, ati mita 42 kwa siku! Imebidi nichungulie nje kwanza maana hii plot yangu ni urefu mita 40 kwa upana mita 35!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Unajua nimekuja kugundua christianity is a pure white man /white wash,philosophy to conquer the world. When fear is instill into people's mind.Fear of jehanam,and the heavens as the reward of being submissive (forgiving,kindness,let go of things) you can control and manipulate anyone because they are in fear of the unknown.
My objections is not to say that,there is no God. But am saying there is absolutely no religion that will take you close to God. Religion is absolutely pure non sense in history of human existence.
 
Kasome vizuri Kutoka, hawakutembea consecutive. Kuna sehemu waleweka kambia hata miaka 5 na zaidi. Kuna sehemu walisubiri mpaka washinde vita ndio wapite. Walipambana na makabila mengi njiani ambayo yaliwafanya kukaa sehemu muda mrefu bila kutembea.
hata wangeweka kambi na kuoana ila sio kwa uongo wa miaka 40 asee, hivi unajua umbali wa kutoka misri hadi israel ni sawa na kutoka Dar hadi Tabora? sa mtu utembee toka Dar hadi tabora uchukue miaka 40? ngoja nkanywe bia kwanza labda nipo soba ndo mana sielewi..
 
Well said.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…