Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Walipitishwa njia ya mbali yenye mzunguko mkubwa
lakini pia walikuwa wanaweka matuo na kukaa mahala kwa muda.
lakini pia walikuwa wanaweka matuo na kukaa mahala kwa muda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] miaka 40 ya kale usikute hata wiki ya sasa haifikiahaa haah ahaa! Mkuu lyinga umenichekesha sana. We unadhani walikuwa wanafanya nini miaka yote hiyo njiani. Eti kama kulikuwa na mama mjamzito, then akajifungua alikuwa na uwezekano wa kupata mjukuu akiwa safarini .emegine!
Misri ya Leo sio Misri ya enzi za Musa, pia haimaanishi kuwa walikuwa wakisafiri kwa miaka yote hiyo, Kuna process kuweza kuachiliwa kutoka mtumwa hadi kwa huru
Kasome maandiko vizuri. Kile kizazi kilichotoka misri ni wawili tu walioingia nchi ya ahadi. Wengi Mungu aliwaangamiza jangwaninaelewa sana mkuu. Mtu aliyekuwa na miaka 50 wakati huo alifika akiwa na 90 years! Teh teh teh. Kikongwe!
duuuhh hapa umenimaliza kabisa...sina swali ""Ni kama Tanzania tu mwaka wa 50bado hatujaweza kujivunia utaifa wetu siku tukipata ukombozi wa kweli kifikra na tukaweka kwenye historia wajukuu zetu kipindi hicho wataumiza vichwa sana ilikuwaje babu na bibi zetu wakaishi maisha ya ukoloni mambo leo miaka yote hiyo?
hahaa.nimecheka...hapo bado hujapiga hesabu za population ya watu waliokuwa wanapatikana katika miji hiyo"" waweza kuta hata ml.2 walikuwa hawafiki""hizo huwa ni hadithi tu kama za akina bulicheka.
Wewe vita gani ya mapanga inauwa watu 500,000 kwa siku.wakati kule hiroshima ilipigwa atomic hawajafika hata laki 2
Acha upumbavu wa kuingiza mambo hayo kwenye suala kama hili..Ni kama Tanzania tu mwaka wa 50bado hatujaweza kujivunia utaifa wetu siku tukipata ukombozi wa kweli kifikra na tukaweka kwenye historia wajukuu zetu kipindi hicho wataumiza vichwa sana ilikuwaje babu na bibi zetu wakaishi maisha ya ukoloni mambo leo miaka yote hiyo?
haha haaaandio wakatumia miaka yote hiyo! Mimi nadhani Elungata ana point, labda hamjambamba. Kitu kingine kilicho nistaajabisha ni mazungumzo ya MUNGU na Musa, kama mdau mmoja alivyoweka hapo juu.
Eti Mungu anatishia kuwaangamiza wote Musa anamshauri Mungu aache. Kwa maelezo hayo mungu anakuwa hajui anachokifanya. MUSA kageuka kuwa mshauri wa mungu!
Kwanini wana wa israel hawakuongozwa kuelekea nchi ya maziwa na asali ya kweli kama Tanzania. Sasa tumeongezewa na gesi. Badala yake walienda jangwani na sasa kila siku vita na waparestina. Naamini kwa kipindi icho watu kama kina mkwawa, mirambo na wengineo wa kariba hiyo hawakuwepi kabisa. Isingewapa tabu kukamata ardhi.
hahaaa...Kwanini wana wa israel hawakuongozwa kuelekea nchi ya maziwa na asali ya kweli kama Tanzania. Sasa tumeongezewa na gesi. Badala yake walienda jangwani na sasa kila siku vita na waparestina. Naamini kwa kipindi icho watu kama kina mkwawa, mirambo na wengineo wa kariba hiyo hawakuwepi kabisa. Isingewapa tabu kukamata ardhi.
hahaaa...daaahh Jamaa unatoa fact ..tatizo hawawezi kukuelewa ukishakuwa brain wash niutumwa kwisha kazi""bible wapi bana,wanahistory washasema,hakuna history ya mamilion ya watu kuzunguka sinai kwa miaka 40,NO EVIDENCE GET IT INTO YOUR HEAD,NO EVIDENCE...
Wanasema hakuna ushahidi wako hukohuko,na wamechimba sinai yote hamna ushahidi,aafu mtu yuko peramiho inajidai kujua zaidi,kha...!!.
Aiseee bado kuna mtu atapinga na hoja kama hii"""nilisha sema exodus ni myth hamutaki kusikia hebu rejeab hapahttps://www.jamiiforums.com/dini-imani/733371-exodus-is-a-myth-3.html
Kwanini exodus ni myth (Kumbuka wamisri ni watunza kumbukumbuku wazuri sana)
1. hakuna ushahidi wowote kwa wamisri kuwa walishawahi kuwaruhusu wageni wengi kama 600,000 kuondoka.
2. wakiwa sinai inasemekana watu 3000 waliuwa kwa uvou lakin hakuna hata fuvu moja la ushahidi la binadamu wala mnyama.
3. mapigo kumi kama ilivyoandikwa kwenye bible haijawa documented mahali popote kwenye historia ya misri ajabu eeh tukio kubwa kama hilo.
4. ajabu jingine kuangamizwa na jeshi lote la misri baharini hili tukio halipo kwenye historia ya misri wala archeology haisapoti tukio hilo kumbuka uadui katai ya misri na nchi kama libya,assyrians,KUSHI enzi hizo kuangamizwa kwa jeshi lao kungeleta maafa sana kivita lakini hakikutokea kitu.
5. hakuna uhusiano wa culture kati ya wamisri na wa israel jambo la ajabu watu muishi kwa miaka 400 msifanane culture.
6. baadhi ya miji iliyotajwa kwenye exodus haikuwepo mingine ilikuwepo lakini ilkuwa na idadi chache sana ya watu na haikuwa na ngome kama ilivyoonyeshwa kwenye bible
7. inaonyesha farao aliyeongea na mussa pindi akiwa na 80 yrs ndo farao huyo huyo ambae binti yake alimuokota mussa. wa misri wanadai hakuna farao ambae aliishi muda mrefu kiasi icho only peppi alitawala kwa miaka 94 na hafiti hapo.
8. kanani ilikuwa inatawaliwa na misri kwa hiyo wa israel kuondoka misri kwenda kanani ni sawa na wamakonde kutoka dar es salaam kwenda mtwara kuanzisha nchi yao hapo ni kujitafutia vita na serikali ya tanzania hiyo hiyo wanayoikimbia dar.
9. rejea namba 8 wamisri wanadai kanani ilikuwa inakaliwa na wa israel toka zamani na wala hawakuhamia hapo toka sehemu nyingine.
10. inadaiwa wa israel walikuwa wanafanya kazi ya kufyatua tofali kweli wamisri wanadai hakuna project kubwa iliyokuwa inahitaji tofali nyingi kiasi cha kuhitaji labor supply kubwa kiasi hicho.
kweli ujinga hatutaki aisee...kuongopeana kama Watoto wadogo ndio ninihizo data umepata wapi weka source basi. na we kwa akili zako timamu unaamini musa alisali kwa zaidi ya miezi nane? aliua ndugu yake au babake mpaka asali miezi yote hio? ina maana baada ya hio miezi nane hakusali tena wakati kusali ni kitu continuous? yesu mwenyewe kafunga siku arobaini hata miezi miwili haifiki, ifikie wakati muwe mnajiongeza, sisi hatutaki ujinga hapa.
uwongo "" huyo mungu atakuwa hajielewi ...kwasababu inaonyesha lengo lake kuu la kuwatoa waisrael chini ya utawala wa misri nikwasbabu walikuwa wanaonewa wanafanywa kama watumwa ..haiyumkiniki Mungu huyo huyo aliyeamua kuwakomboa watu kwa lengo lakuwatoa katika mateso na kwenda kujitawala"" eti aamue kuwageuka watu hao hao aliotaka kuwakomboa na kuanza kuwatesa kiasi hicho...sasa hapo sibora wangebaki kule kule misri tu"" natunaamini kuwa mungu nimjuzi. yote ..kwann asingetumia ujuzi wake wa yote kujua mambo yatakayokuja kuwa Hawa watu hata akikomboa hawatokuja kumsikiliza "" maana kama angeamua kutumia ujuzi wake huo asingehangaika kuwakomboa watu ambao baadae wamekuja kuonyesha kuwa hawana muda wakumuamini "" huoni kuwa ingeasidia mnoo kutuutumia muda wake vibaya..nakuwza kufnya mambo mengine yenye tija zaidi haswaa kwa wale ambao waliokuwa wanamuamini ktik wakati huo.......Kwa mujibu wa uislamu mtume mussa baada ya kukamilisha siku 40 na kwenda kuchukua kitabu alivyorudi aliwakuta wana wa Israel wakiabudia ngombe
Mungu akawapa adhabu ya kutanga tanga jangwani na kusafiri kwa muda wa miaka 40