Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

But still miaka 40 mingi sana...labda tujiulize kipindi hicho kalenda zilizotumika ndo kama hizi...??mfumo wa kuhesabu majira ulikua kama sasa??
 
Write your reply...uli ulikua ni mpango wa Mungu wajifunze vita pia hakutaka kizazi kilichitoka utumwani kiingie nchi ya ahadi
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Kwa Bwana, Siku moja ni sawa na miaka 1,000
Na miaka 1,000 ni sawa na siku Moja.

Mungu alifanya uumbaji kwa siku 6 ambayo ni sawa na miaka 6,000

Safari ya wana wa israel ni miaka 40, ambayo ni sawa na miezi kadhaa tu.
 
Mnashangaa hiyo?,kimsingi,misri na israel,zinapakana,
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Ni kwamba tunapoongelea safari ya wana wa Israel hatumaanishi kwamba kweli kulikuwa na safari kama ambavyo ulikaririshwa bali lugha ya picha ilitumika kuonesha ni jinsu gani iliwachukuwa muda mrefu waisrael kuamini uwepo wa mwenyezi Mungu.

Katika safari hiyo kuna haya maneno utaona yametumika katika kufikisha ujumbe.

1. Safari ya waisrael maana yake ni kutokuwa na imani ya kiroho juu ya uwepo wa MUNGU.

2. Kufika Nchi ya ahadi maana yake ni pale wana wa israel walipolipokuwa kiroho na kuanza kuamini uwepo wa MUNGU.
 
Kwa kweli siyo mbali ki vile siku hizi huwa nawaona watu wanaenda kwa mguu tu mkuu, yaani unakatisha tu mfereji wa Suez unajikuta uko Israel. Kuhusu wana wa Israel kuchukua muda mrefu hivyo nafikri inabidi tukumbuke kuwa hawakupita njia inayotumika sasa hivi, wao walikatisha bahari ya Shamu na kujikuta wako ilipo Yemen ya sasa hivi. Pia ikumbukwe kuwa humo njiani walikuwa wanamkorofisha Mungu naye anaamua kuwapa adhabu ya kupotea humo jangwani ndo maana walikuwa wanachukua muda mrefu sana. Pia humo njiani kulikuwa kunatokea mapigano na makabila mengine waliyoyakuta humo njiani hivyo wakati mwingine wanaenda mbele wakati mwingine wanarudishwa nyuma, ndo maana walikaa miaka 40.
Matukio au maelezo ya kwenye Bibilia ni endelevu na ya kufundisha toka wakati huo hadi sasa , kama mwenzetu alivyoelezea safari ya Tanzania, au Ya "Wasira" "Lukuvi" na hata ya sisi wenyewe binafsi, rejea maelezo ya wale wadada werevu na wasio werevu walioishiwa mafuta na wale wengine walivyo wakatalia kuwapa mafuta , maana wange wapa mafuta wangeishiwa wote.

Na Maisha yetu ni hivyo hivyo wewe umechomoza/ mwerevu halafu una ndugu au rafiki asiye mwerevu mnaishia , sasa old wako ukubaliane nao wote hamtafila hiyo safari
 
nilisha sema exodus ni myth hamutaki kusikia hebu rejeab hapahttps://www.jamiiforums.com/dini-imani/733371-exodus-is-a-myth-3.html

Kwanini exodus ni myth (Kumbuka wamisri ni watunza kumbukumbuku wazuri sana)
1. hakuna ushahidi wowote kwa wamisri kuwa walishawahi kuwaruhusu wageni wengi kama 600,000 kuondoka.
2. wakiwa sinai inasemekana watu 3000 waliuwa kwa uvou lakin hakuna hata fuvu moja la ushahidi la binadamu wala mnyama.
3. mapigo kumi kama ilivyoandikwa kwenye bible haijawa documented mahali popote kwenye historia ya misri ajabu eeh tukio kubwa kama hilo.
4. ajabu jingine kuangamizwa na jeshi lote la misri baharini hili tukio halipo kwenye historia ya misri wala archeology haisapoti tukio hilo kumbuka uadui katai ya misri na nchi kama libya,assyrians,KUSHI enzi hizo kuangamizwa kwa jeshi lao kungeleta maafa sana kivita lakini hakikutokea kitu.
5. hakuna uhusiano wa culture kati ya wamisri na wa israel jambo la ajabu watu muishi kwa miaka 400 msifanane culture.
6. baadhi ya miji iliyotajwa kwenye exodus haikuwepo mingine ilikuwepo lakini ilkuwa na idadi chache sana ya watu na haikuwa na ngome kama ilivyoonyeshwa kwenye bible
7. inaonyesha farao aliyeongea na mussa pindi akiwa na 80 yrs ndo farao huyo huyo ambae binti yake alimuokota mussa. wa misri wanadai hakuna farao ambae aliishi muda mrefu kiasi icho only peppi alitawala kwa miaka 94 na hafiti hapo.
8. kanani ilikuwa inatawaliwa na misri kwa hiyo wa israel kuondoka misri kwenda kanani ni sawa na wamakonde kutoka dar es salaam kwenda mtwara kuanzisha nchi yao hapo ni kujitafutia vita na serikali ya tanzania hiyo hiyo wanayoikimbia dar.
9. rejea namba 8 wamisri wanadai kanani ilikuwa inakaliwa na wa israel toka zamani na wala hawakuhamia hapo toka sehemu nyingine.
10. inadaiwa wa israel walikuwa wanafanya kazi ya kufyatua tofali kweli wamisri wanadai hakuna project kubwa iliyokuwa inahitaji tofali nyingi kiasi cha kuhitaji labor supply kubwa kiasi hicho.
mzee umeshusha nondo
 
Kwa kweli nime
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Kwa kweli nimecheka sana! Walisafiri kwa muda wa miaka 40 kwa umbali wa kilomita 613! Kwa kweli umesoma maandiko kwa kufikiri sana ila maneno ya Biblia ya maana tofauti sana. Kwa mfano, kuna yule alipiga fimbo maji yakatoweka ikawa njia. Lakini ukifikiri kwa haraka hata leo bahari huwa maji yanaondoka na watu watembeatembea eneo hilo hadi maji yanaporudi. Lakini maana yake siyo hiyo.
 
Bwana Mungu alliamua kuwachekecha kwanza ili kupata cream ya watu ambao angewahitaji mbeleni Ila inaonekana ile misheni ilifeli. Ndio maana mi jamaa hadi leo nimipumbavuu mipumbavuii tu!
 
Katika safari ya wana wa Israel kule jangwani walimnung'unikia MUNGU na MUSA kua angewaacha Misri kula mabaki,baada ya MUSA kuwatuma wale 12 akiwepo Joshua na Kelebu waende kuipeleleza nchi ya waaMori ambayo ndiyo Kaanani kama ni njema,biblia inasema wakaleta habari mbaya.

Wakaisifia kwanza kua njema na ina wingi wa chakula lakini wakasema ina jeshi kubwa na zuri wasilo liweza, wakaogopa wakaacha kumtumainia MUNGU na wakapoteza matumaini kwa MUSA,MUNGU akaghadhabika sana na kumwambia MUSA mbona watu hawa hawana shuklani? Nao wakaendelea kumwambia MUSA kua anaenda kuwaangamiza,kiasi hata waziri mkuu wa MUSA aliitwa KORA akamgeuka na kumwambia MUSA unatuongoza wewe kama nani? Maana sisi wote ni wajukuu wa Ibrahim iweje wewe ndo ujitukuze peke yako?

Baada ya mabishano mengi nafanya kufupisha story ndipo MUNGU akasema akawapa laana na kuahidi kua hawatafika kule Kaanani na walikua waende kwa siku nne lakini sasa zile siku 40 walizo zitumia kupeleleza nchi ile kila siku moja itakua ni mwaka 1 kwao, kwa hivyo watakwenda kwa miaka 40 na hawataiona Kaanani isipokua kizazi chao, lakini pia pale mwishoni walipokuja kugundua kua MUSA yuko sahihi baada ya MUNGU kuwaua watu 150 akiwemo KORA waziri wa MUSA wakashituka kua watakwisha na kusema sasa MUSA tuko tayali kwenda kupigana na waaMori, MUSA akawaambia kua wasiende maana MUNGU hayupo pamoja nao,wakalazimisha na MUSA akawaambia wasibebe sanduku la BWANA MUNGU.

Watu wale walikwenda kupigana na waaMori na maandiko yanasema walikufa wote na vizazi vyao walivyo viacha ndivyo vilifika Kaanani.

Tchao.
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....
img-20160920-wa0176-jpg.403864
 
Hakuna aijuae Misri ilikuwa na ukubwa gani, pengine ilikua kubwa hadi Aftika Kusini mwa Jang la Sahara, pengine kwenda Kusini hadi Afrika Kusini. Ikumbukwe wana wa Israel walikua weusi.

Hivyo basi inawezekana walitumia hiyo miaka 40 kutembea toka kusini mwa Jangwa la Sahara hadi Israel.
 
Si kweli,usijibu kwa kufikiri..soma maandiko ambayo yako wazi, shida watu hawasomi maandiko
Hakuna aijuae Misri ilikuwa na ukubwa gani, pengine ilikua kubwa hadi Aftika Kusini mwa Jang la Sahara, pengine kwenda Kusini hadi Afrika Kusini. Ikumbukwe wana wa Israel walikua weusi.

Hivyo basi inawezekana walitumia hiyo miaka 40 kutembea toka kusini mwa Jangwa la Sahara hadi Israel.
 
Si kweli,usijibu kwa kufikiri..soma maandiko ambayo yako wazi, shida watu hawasomi maandiko

Unadhani walioandika maandiko walikataza kufikiri? Kwa nini walikataza au kwa nini hawakukataza?
 
Umbali kutoka Egypt hadi Israel ni km 613 tu basi, ambapo Mussa na wana wa Isreal walitumia miaka 40 kutembea katika umbali huo wa safari.

Kwa wastani wa mita 43 kama utafanya mahesabu ya kwa siku, hii ukichukua mita 43 mara miaka 40 utapata umbali wa Km 613, hapa tunapata kuwa Mussa na wana wa Israel walitembea mita 43 kwa kila siku.

Ndiyo, mita 43 umbali ambao Usain Bolt anakimbia kwa sekunde 5 tu, dah!

Natamani hapa aje mtu atupatie maelezo ya kina kuhusu jambo hili.
FB_IMG_1665311363111.jpg
 
Biblia ni kitabu cha story za kutungwa kama hekaya za Abunuwasi.

Ukiisoma vizuri biblia kuna dot haziungi kabisa unaona kabisa ni utapeli wa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom