Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Ni swali zuri sn japo naona bado mtaalamu wa kulijibu hajapatikana
 
Pastor Achachanda;
Wabillah Tawfiiq.



Mkuu Pastor Achachanda unasemaje hapo juu?????
 
Last edited by a moderator:
ni miaka 40 hii ya leo,na wao walitumia miaka hiyo hiyo kufika nnch ya ahad.Kulikuwa kuna mambo meng ndan yao ndio maana walizungushwa sana mpaka watengenezeke vile Mungu alivyotaka ndio akawawezesha kufika promise land.
Asingeweza kuwavusHa wakat wanavaz la kimisri,wana was was nae bado hawajamuamin,wanajifanyizia sanamu,ndio maana aliwazungusha jangwan mpaka walipopata ufahamu wa kumwelewa yeye na kumtumain.Akawajalia baada ya miaka hiyo kufika katika nnchi alowandalia.
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

Kwanza Wakati wanaenda huko Misri walitumia muda gani?
 
Bikra Maria alikwenda Misri kwa haraka sana kumkinga mtoto Yesu hasiuawe. Alikwenda kirahisi, upande wa wayahudi wao walizungushwa jangwa ili washike adabu yao
 
ahaa haah ahaa! Mkuu lyinga umenichekesha sana. We unadhani walikuwa wanafanya nini miaka yote hiyo njiani. Eti kama kulikuwa na mama mjamzito, then akajifungua alikuwa na uwezekano wa kupata mjukuu akiwa safarini .emegine!

Usicheke inasikitisha kipindi wajukuu zetu watakapo kuwapo watakutana na mahandaki na vitu vya ajabu huku wakisoma vitabu vya kihistoria kulikuwa na madini ya kila aina , gesi, kulikuwa na tembo , sasa hapo ndipo watakapo kuna vichwa vyao na kufukua mafuvu yetu kufanya utafiti hawa mababu zetu na mabibi walikuwa ni binaadamu wa kawaida au walikuwa wanaishi mapunguani?
 
Last edited by a moderator:
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

Sio mbali kihivyo, ndio maana Isaack aliweza kuwatuma watoto zake kwenda Misri kutafuta chakula wakati ule wa miaka 7 ya njaa.

Na walipofika huko Misri walimkutaka Joseph (mtoto wa mwisho wa Isaack) ndiyo waziri mkuu wa Misri. Aliwatambua ndugu zake na kuwapatia chakula na wakurudi Israel. Baadaye Isaack na wanawe walihamia Misri na ndio ukawa mwanzo wa utumwa wa Waisrael Misri baada ya Pharaoh aliyekuwa anamthamini Joseph kufariki.
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?
Ni mwendo kama wa siku tatu kwa miguu huku ukiswaga punda anayebeba mzigo. Ndo maana hata wakati wanaenda kulipokuwa na njaa kule Kanaani walikuwa wanaenda kununua chakula Misri kipindi Yusufu akiwa amepewa Cheo kikubwa na Farao. Wana wa Israel walitumia miaka 40 kwa sababu ya uasi walioufanya dhidi ya Mungu aliyewapigania huko Misri na kuwavusha kupitia bahari ya Sham. Wakati Musa anapokea Torati toka kwa Mungu Mlimani Sinai wao waliasi na kumwamuru Haruni kuwatengenezea Mungu, ndipo akawatengenea sanamu ya Baali (habal) ili wamwabudi na wote walimwabudu isipokuwa nyumba ya Joshua na Kalebu. Hivyo, Mungu hakutaka hata moja aliyeshiri uasi huu aingie katika nchi ya ahadi, hivyo katika miaka hiyo wote walioshiri ibada ya Baali walikufa jangwani isipokuwa Nyumba ya Joshua na Kalebu na wana waliozaliwa baada ya uasi.

Soma Biblia, kitabu cha Kutoka, iko wazi.
 
Sio mbali kihivyo, ndio maana Isaack aliweza kuwatuma watoto zake kwenda Misri kutafuta chakula wakati ule wa miaka 7 ya njaa.

Na walipofika huko Misri walimkutaka Joseph (mtoto wa mwisho wa Isaack) ndiyo waziri mkuu wa Misri. Aliwatambua ndugu zake na kuwapatia chakula na wakurudi Israel. Baadaye Isaack na wanawe walihamia Misri na ndio ukawa mwanzo wa utumwa wa Waisrael Misri baada ya Pharaoh aliyekuwa anamthamini Joseph kufariki.
Siyo Isaack, Ni Jacob.
 
Hakuna israel hakuna yesu hakuna PauLina ... biblia inawapotosha bora msome sani au kiu
 
Wangeweza kutumia siku 8 kuingia nchi hii. Lakini njia hii ilikuwa na maadui wengi na vikwazo vingi. Wangeweza kukata tamaa njiani. Lakini Mungu akawazungusha toka bara sini kuuzuka mlima Sinai ambapo kulikuwa na maadui wachache na vikwazo vichache. Pia Mungu alitaka kukichuja kizazi kilichozoea ibada za miungu Misri awatakase ili nchi ya ahadi kiingie kizazi kipya. Hata hivyo historia na urithi havipotei, walirejea ibada hizi za sanamu. Mungu akawapa waamuzi(soma the book of judges). Waliasi, wakapewa mtetezi kila mara. Kitaalam tunaita apostance circle(kuasi na kurejea kwa Mungu). Wabillah Tawfiiq.

Ndugu Pastor, naona umetumia maneno haya ya kiarabu "Wabillah Tawfiiq." , je unajua maana yake?
 
Thinking is for free, Kaa chini and 'THINK'. Kuwa cdm ni janga kubwa na linaathiri zaidi ubongo, fikiria unaulizwa swali distance from egypt to jerusalem then unajibu pumba instead of 1,2,3...... km. Siyo ajabu ikaulizwa kwenye interview 'why should we hire you'? ukajibu 'chadema'
 
Kwa kuasi kwao ndiko kulisababisha kuchelewa kufika na ndiyo maana Mungu aliwaangamiza jangwani,waliofanikiwa kuingia ni wawili 2 kati yaa wote waliotoka misri,na kizazi kilichozaliwa njiani
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

hizo huwa ni hadithi tu kama za akina bulicheka.
Wewe vita gani ya mapanga inauwa watu 500,000 kwa siku.wakati kule hiroshima ilipigwa atomic hawajafika hata laki 2
 
Hakuna israel hakuna yesu hakuna PauLina ... biblia inawapotosha bora msome sani au kiu
eti bahari ilitenganishwa,bahari ipi hapo wakati watu wanatembea hata kupitia tunnel kutoka misri kwenda gaza.halafu wanakimbia askari wa misri wakati wanadai walikuwa wamepewa uwezo wa kupigana na jehova,kwanini wasipambane na askari wa misri?
 
Back
Top Bottom