Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kutoka Misri kwenda Israel ni kilomita 623 tu. Lakini Musa na kundi lake (wana wa Israel) walitumia miaka 40 kutembea hadi kufika nchi ya ahadi. Huu ni wastani wa kilomita 15 kwa mwaka, sawa na kilomita 1.25 kwa mwezi. Hii ni sawa na mita 42 tu kwa siku, yani umbali nusu ya uwanja wa mpira.

Moderators , mnamba ya simu ya Musa umlete hapa ajieleze, huu uvivu waliutoa wapi.

Sipendagi ujinga

Piga simu Kutoka 13:17-18
\v 17 Ilikuwa hapo Farao alipokwisha kuwaacha watu hao waende zao, Mungu hakuwaongoza kwa njia ya nchi ya Wafilisti, ijapokuwa ilikuwa ni ya karibu; maana Mungu alisema, Wasije wakaghairi watu hawa hapo watakapokutana na vita, na kurudi Misri; * \v 18 lakini Mungu akawazungusha hao watu kwa njia ya bara kando ya Bahari ya Shamu; wana wa Israeli wakakwea kutoka nchi ya Misri hali wamevaa silaha.


Piga pia Kumb 8:1-18

\c 8
\p \v 1 Amri hii ninayokuamuru leo mtaishika kuitenda, mpate kuishi na kuongezeka, na kuingia katika nchi ile ambayo \nd Bwana\nd* aliwaapia baba zenu; nanyi mtaimiliki. \v 2 Nawe utaikumbuka njia ile yote \nd Bwana\nd*, Mungu wako aliyokuongoza miaka hii arobaini katika jangwa, ili akutweze, kukujaribu kuyajua yaliyo moyoni mwako, kwamba utashika amri zake, au sivyo. * \v 3 Akakutweza, akakuacha uone njaa, akakulisha kwa mana, usiyoijua wewe wala baba zako hawakuijua; apate kukujulisha ya kuwa mwanadamu haishi kwa mkate tu, bali huishi kwa kila litokalo katika kinywa cha \nd Bwana\nd*. * \v 4 Mavazi yako hayakuchakaa, wala mguu wako haukuvimba, miaka hiyo arobaini. *
 
Fix zile wkt miaka 90 tu mbinde
Hiyo ni kusadikika
1479925899447.jpg
 
Mkuu haya ni maswali ya MTU asiye na taarifa halisi ya hiyo safari
Ujiulize kwanza
Kwa nini wakati wa naenda walitumia siku
Kwa nini wakati wanarudi tena misri wakai wa yeremia walitumia muda mfupi
Kwa nini majeshi ya wababeli yalifika huko kwa muda mfupi

Pia unapaswa kujua hawakusafiri daily kuna mahala waliweka jambo siku za kutosha au miezi ya kutosha mfano wakipomsubiri Mussa siku arobaini kutoka mlimani
Tuanzie hapo
 
hiyo Ni adhaabu walipewa na mungu sababu ya kufuru zao.walikuwa wanaona kama wanasafiri lakini wanarandaranda Tu hapo,hadi mussa akafa hakufika huko,Harun naye pia..
 
Nafikiri inawezekana kutajirika baada ya kuvuka miaka 40 lakini kwa hakika ni vigumu mno. In fact huwezi kujiahidi au kuahidi watoto wako kuwapa utajiri baada ya kuvuka umri wa 40-45.
What are u talking about???umemeza viloba na pakti zake mkuu??
Watu wanatajirika na 55 hadi 60
 
Mbona msiulize Yesu alitembeaje juu ya maji? Au mikate na samaki watano vilitoshaje watu 5000? Ya Ngoswe mwachie Ngoswe,Mazoea hayamuhusu
Halafu mbona hili boda la Misri to Israel kina Yesu walikuwa wakilioneaga sana kulikatizaga na mdingi wake wa kufikia Yusuf na bimkubwaake Mary
 
Mtoa mada kabla hujauliza swali lako kuna vitu vingi unatakiwa ujiulize,
a) Idadi ya watu kwenye msafara.
Kwa vile walikuwa wengi, iliwabidi waende taratibu, mmoja wapo akipata tatizo ni lazima wamsubirie. Kundi lilikuwa kubwa ilibidi ifike sehemu watafute chakula.

b) Jiografia ya kati ya Misri na nchi ya ahadi, kuna jangwa,milima,mabonde,mito na bahari. Kutokana na hayo inabidi sehemu ya kutumia siku moja inabidi mutumie miezi kadhaa kuuzunguka mlima au kukwepa bonde. Kumbuka kizazaa walichokipata wakati wanavuka bahari ya shamu.

c) Umri tofauti katika kundi, kulikuwa na watoto wazee na vijana.

d) Aina ya usafiri waliokuwa wanautumia, fikiria unatembea kwenye jangwa itakuchukua muda gani kurudisha nguvu zilizopotea.

e) Muda wa ibada, kuna wakati Musa ilibidi aende mlimani(sehemu yenye utulivu) kusali na kuongea na Mungu, kumbuka Mungu hapangiwi muda,unaweza msubiri hata miezi 8 hajakujibu.

Mwisho kabisa ulikuwa ndio mpango wa Mungu watumie miaka 40 kufika nchi ya mito na maziwa. ATAKAYE VUMILIA MPAKA MWISHO HUYO NDIE ATAKAYEIONA NCHI MUNGU ALIYOWAAHIDI WATU WAKE
Musa hakufika nasikia
 
Zamani nilifundishwa kuwa wanahistoria wana dhania kuwa hawa watu walipita njia ya mbali na kuna possibility ya kuwepo kwa njia karibu tatu za wao kufika Israel ila hawa kwenda moja kwa moja.

Nilivo fundishwa ni enzi hizo ni kuwa hawa jamaa walikuwa gosheni kutoka gosheni mpaka Misri kwa kutembea inadhaniwa ni inachukua mwezi mmoja tuu.
Lakini hawakupita huko walikuja chini huku kufuata mto naili, wali pita mpaka bahari nyekundu ambako ni mbali sana, baadaye walikatisha wakaenda mpaka mlima sinai unao dhaniwa kuwa uko saudi arabia, walikuwa wakizunguka jangwani sana then wakapandisha mpaka bahari ya chumvi wakaja kushuka kidogoogo
Ndio wakaingia yeriko na kaanan

Sasa humo njiani walipiga kambi, walipigana vita na mambo kadhaa, niliambiwa kuwa lengo la Mungu lilikuwa ni kuhakikisha kizazi chote kilicho toka Misri kina fia njiani hada kwenye jangwa na wanao ingia kaanan ni watu wapya na kweli waliotoka Misri walifika kanan wa wili tu , joshua na mwenzie.
Pia wana sema hii iliwasaidia hao waisraeli kwani walitengeneza jeshi, walitengeneza uongozi , silaha na vikosi vya upelelezi vililifanya kuwa taifa lenye nguvu kwa nyakati hizo, toka siku ya kwanza

*hivo ndo nijuavo marekebisho yata pokelewa, ila ukitaka kuipata stori hii inatakiwa uijue miji ya zamani ya.middle east karibu yote

Cc Deadbody

Cc nanya
Hadithi tamu mno hii,turudi hapo kwenye huo mlima Sinai,je kuna andiko lolote lile linaloelezea kama huo mlima upo Saudi Arabia??
 
Ndio mana kundi lingine la wayahudi wslizinguana na bwana musa wakafuata njia yao to western africa na kusini mwa jangwa la sahara

Usiniulize how uliza kwanza kwa nini historia ya africans inaanzia 1600's and not before
Huo ndio ubabe wa viongozi wetu wakiimani nao,hawapendagi kbs kuulizwaulizwa maswali
 
..nyakati zimebadlika,saa unayotumia leo alikuwa nayo musa?..huu muda wa sasa umeanza lini(miezi 12 kuwa mwaka)???kuna watu tuliambiwa waliishi miaka 600 walikuwaje miili yao??.labda hiyo miaka mia sita ya zama hizo ni 60 kwa zama hizi
Mbona hamshangai Muhammad alitoka Mecca hadi Jerusalem kwenye msikiti wa Al-aqsa kwa safari ya dakika moja tu na farasi wake mweupe mwenye mabawa mwenye uwezo wa kuruka
 
Hadithi tamu mno hii,turudi hapo kwenye huo mlima Sinai,je kuna andiko lolote lile linaloelezea kama huo mlima upo Saudi Arabia??
Aaa yes!! Wana theologia wana amini hivo. Wapo wengine wanao sema pengine siyo lakini most of biblical scholars agree kwamba mlima sinai ni saudi arabia

Maandiko yako kama 20 ili kujadili hilo sasa labda tufungue uzi kabisa nikuwekee hapo yoote maana lazima uunganishe naratves ndio upate jibu
 
Unapokuja kwenye mathematics... dini huwa zinafeli. 1+1=4 kwao ni Vema
 
Mbona biblia imeelezea kilicho fanya wasafiri kwa miaka 40 we sio msomaji wa vitu tofauti nina mashaka na ww hebu nenda ujifunze zaidi na kasoma katika biblia KUTOKA yote huoni hata biblia kila kitabu kinajieleza, KUTOKA maana kutoka misri
Ni kweli kuna kila kitu katika hicho kitabu. Mungu aliwapitisha njia ndefu ili kuwaepusha vita wasije wakachoka mapema na kukata tamaa

Na ndivyo ilivyo ktk maisha hivyo hovyo Mungu anaweza kukurefushia njia sababu anakujua ndani hadi nje kuwa ukipita hapa utachoka na kukata tamaa sababu kuna vita vingi ktk hiyo njia
 
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....View attachment 403864
Age is just but a number. One's success is hinged on desire/need, imagination/creativiity, faith, determination/persistence, hard work and focus. With these, everything is within reach irrespective of the number of years you have been on earth.
 
Na chakushangaza zaidi M 42 kwa siku ni sawa na umbali wa 1.75 M kwa saa mwendo ambao hata mtoto mdogo anayejifunza kutambaa anaweza kuu cover kwa dakika mbili nukta 33!
Kwa dakika sasa...ndio maajabu 0.03m
 
Back
Top Bottom