raxx
JF-Expert Member
- Apr 9, 2016
- 326
- 284
Mkuu unenichekesha hilo neno labudaWalitumia AirTanzania labuda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unenichekesha hilo neno labudaWalitumia AirTanzania labuda
ndo maana imeandikwa Mungu aliwafanyia kusudi waranderande jangwani miaka 40! sasa MUOMBE GWAJIMA AMUULIZE Mungu maana anadai huwa anaongea nae sana au Lema
kama huwez changia bora ukae kimya swali na jibu lako vinaendana kweli?Jaribu kuwaza, ni safari ya siku ngapi kutoka duniani kwenda mbinguni aliko Mungu; tangu mwanadamu alipozaliwa duniani ?
kwa hiyo apo umejibu swaliHakuna israel hakuna yesu hakuna PauLina ... biblia inawapotosha bora msome sani au kiu
Halafu mbona hakuna jangwa kati ya Misri na Israel? Bahari ya Shamu yenyewe IPO,ama lilishaota majani?sasa walikuwa wanazunguka tu jangwani au walikuwa wanafanyaje hasa!. Miaka 40 kweli?
Ndio shida ya al shabaabHii hadithi ya miaka 40 umeitoa wapi? Kama ni kwenye biblia basi hicho ni kitabu cha
Riwaya kama vile vya shigongo
Kule kuuliza kuna umbali gani kutoka Misri kwenda Israel ni sawa na kuuliza kuna umbali gani kutoka Tanzania kwenda Kenya au kuna umbali gani kutoka Tanzania mpaka Zambia wakati nchi zimepakana!!!!!!!!!!!!! Umbali ni zero kilometers!Kutoka Misri kwenda israel ni mwendo wa siku moja. Ila ulikuwa ni mpango wa mungu.
hivi hao maadaui walikuwa ni binadamu au vipi?Wangeweza kutumia siku 8 kuingia nchi hii. Lakini njia hii ilikuwa na maadui wengi na vikwazo vingi. Wangeweza kukata tamaa njiani. Lakini Mungu akawazungusha toka bara sini kuuzuka mlima Sinai ambapo kulikuwa na maadui wachache na vikwazo vichache. Pia Mungu alitaka kukichuja kizazi kilichozoea ibada za miungu Misri awatakase ili nchi ya ahadi kiingie kizazi kipya. Hata hivyo historia na urithi havipotei, walirejea ibada hizi za sanamu. Mungu akawapa waamuzi(soma the book of judges). Waliasi, wakapewa mtetezi kila mara. Kitaalam tunaita apostance circle(kuasi na kurejea kwa Mungu). Wabillah Tawfiiq.
Jibu hili hapa! Ilikua ni adhabu baada ya kumuudhi Mungu. Akawaacha watangetange jangwani kwanza. Pia kuwachujaKuhusu Wana wa Israel kutumia 40 years ku travel sababu kuu ni kumuasi Mungu,, wakamchukiza Mungu hapo ndo akawapa hiyo adhabu
Point au hoja hapa ilikuwa ni kwa nini walitumia muda mrefu kiasi hicho kwa umbali mdogo kama huo. Kumbuka walitumia miaka 40. Na inasemekana hawakufika.Kule kuuliza kuna umbali gani kutoka Misri kwenda Israel ni sawa na kuuliza kuna umbali gani kutoka Tanzania kwenda Kenya au kuna umbali gani kutoka Tanzania mpaka Zambia wakati nchi zimepakana!!!!!!!!!!!!! Umbali ni zero kilometers!
Sio mbali unawezaenda hata kwa bodabodaTunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.
Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?
Sio mbali unawezaenda hata kwa bodabodaTunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.
Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?
Misri ya Leo sio Misri ya enzi za Musa, pia haimaanishi kuwa walikuwa wakisafiri kwa miaka yote hiyo, Kuna process kuweza kuachiliwa kutoka mtumwa hadi kwa huru
Safari yao ilikuwa inatakiwa iwe ya mwendo wa siku saba tu kwa mguu,lakini walipomkosea Mungu tu,adhabu yao ikawa ni kuzunguka tu jangwani,yaani wazo la kupita short cut halikuwepo kabisasasa walikuwa wanazunguka tu jangwani au walikuwa wanafanyaje hasa!. Miaka 40 kweli?
Acha uongo wew[emoji12] [emoji12] [emoji12]Safari yao ilikuwa inatakiwa iwe ya mwendo wa siku saba tu kwa mguu,lakini walipomkosea Mungu tu,adhabu yao ikawa ni kuzunguka tu jangwani,yaani wazo la kupita short cut halikuwepo kabisa