DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Huu Uongo maana Naona hata Hibu la Huyo jamaa Hujalijibu 🤣🤣Kimtazamo nafikiri ilikuwa ni adhabu na sehemu ya mpango wa Mungu wa kuwafundisha na kuwatakasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Uongo maana Naona hata Hibu la Huyo jamaa Hujalijibu 🤣🤣Kimtazamo nafikiri ilikuwa ni adhabu na sehemu ya mpango wa Mungu wa kuwafundisha na kuwatakasa.
Do you even know the meaning of fact?Ni mtazamo wako urgue with facts
Naupande wapili je😆 usisakame bila hojafacts zozote zaidi ya hadithi za kusadikika.
SijaionaHii mada mbona ipo humu ndani wewe umerudia tena
Mbona wewe story za gamboshi kuwa Newyork usiku unaisikiliza 🥸Kilomita 613 watu walitembea miaka 40 nawe ni mtu mzima unaisoma hiyo stori na kuikubali??
😂nitasemaje sasa siunajua mawazo hayapigwi runguHuu Uongo maana Naona hata Hibu la Huyo jamaa Hujalijibu 🤣🤣
Sema inatafakarisha.Kilomita 613 watu walitembea miaka 40 nawe ni mtu mzima unaisoma hiyo stori na kuikubali??
Yani kwa siku ni sawa walikuwa wanatembea umbali wa sentimita 30 sawa na urefu wa rula ya mwanafunzi.
Sentimita 30 ni nusu ya hatua.
Kibinadamu na kimtazamo wa macho ya nyama naweza kusema yafuatayo ni mambo yaliyowakamisha miaka 40😁Wana wa Israel hawakuwa na mafunzo ya neno la Mungu walikuwa wapagani neno linahitaji watu wenye Imani njia hiyo fupi hiyo wasingeweza kupigana na kushinda hawakuwa na Imani kuwa Mungu atawasaidia hivyo ilibidi Mungu awapitishe njia ndefu kitu kingine walivyotoka kule misri walitaka waingie nchi ya ahadi na miungu yao hii nayo ilikuwa sababu
Kumbuka: kwanini Mtume Mohammad alioa Mwanamke wa miaka 40 wakati yeye ana Umri wa 20+ na ilikuwa Ina maana saana kiroho Muslim wanajua.Zinafunga mpaka ngiri
Upande wa pili upi?Naupande wapili je😆 usisakame bila hoja
Umenena vema mambo ya kiroho na kiimani ukiyatazama kibinadamu utaishia kukashfu wengine !,vijana wajifunze kutuliza akili na kunyamaa inaleta ukomavuMambo ya Kiroho au ya ki Mungu yanakitaka uwe na ufahamu juu ya mafunuo na uelewa wa kiroho
Ni kweli kibinadamu ukiwaza si logic kabisa 613+ kutembea kwa miaka 40 ndo hivyo Sasa iliwezekana. Na siyo hadithi maandiko na waandishi wengi wamekili Hilo.
So usitafakari kwa ukawaida bali ki theology
Kondoo n lugha ya kibiblia inayoonesha unyenyekevu,sijui sasa unataka tuitwe mbuzi 😂 au ndama jeuriHata leo manabii wanawaita wafuasi wao kondoo,