Umbali umeniachanisha na Mchumba wangu

Umbali umeniachanisha na Mchumba wangu

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Biashara imekuwa biashara, tuna maliza mpaka miezi kadhaa hatuonani.

Juzi nimekuta kanipigia simu , nikasema nimpigie Mama mtoto wangu, daah...! anapokea simu ananambia "ulikua unasemaje" , nikaikata simu mara moja.

Bora tumeachana kabla hatujaoana tume epusha mengi.Sasa hivi bora ni deal na Mishangazi yangu tu.

Mkiona mahusiano yanaanza kuleta mapicha picha ni heri kukaa nayo kando na kufanya mambo mengine ya msingi.
 
Biashara imekuwa biashara, tuna maliza mpaka miezi kadhaa hatuonani.

Juzi nimekuta kanipigia simu , nikasema nimpigie Mama mtoto wangu, daah...! anapokea simu ananambia "ulikua unasemaje" , nikaikata simu mara moja.

Bora tumeachana kabla hatujaoana tume epusha mengi.Sasa hivi bora ni deal na Mishangazi yangu tu.

Mkiona mahusiano yanaanza kuleta mapicha picha ni heri kukaa nayo kando na kufanya mambo mengine ya msingi.
Katika mazingira ya kibongo, distance ni number one killer wa mahusiano. Jitahidi sana uwe close na mwenzio close, else ni suala la muda
Distance haojawahi kuwa haitowahi kua rafiki wa mahusiano
Ndoa or not
 
yuh.jpg
 
Biashara imekuwa biashara, tuna maliza mpaka miezi kadhaa hatuonani.

Juzi nimekuta kanipigia simu , nikasema nimpigie Mama mtoto wangu, daah...! anapokea simu ananambia "ulikua unasemaje" , nikaikata simu mara moja.

Bora tumeachana kabla hatujaoana tume epusha mengi.Sasa hivi bora ni deal na Mishangazi yangu tu.

Mkiona mahusiano yanaanza kuleta mapicha picha ni heri kukaa nayo kando na kufanya mambo mengine ya msingi.
Mchumba wako hawezi kukwepa vishawishi hata uwe nae karibu atasuguliwa tu
 

Attachments

  • IMG_20241107_174011.jpg
    IMG_20241107_174011.jpg
    226.7 KB · Views: 8
Katika mazingira ya kibongo, distance ni number one killer wa mahusiano. Jitahidi sana uwe close na mwenzio close, else ni suala la muda
Distance haojawahi kuwa haitowahi kua rafiki wa mahusiano
Ndoa or not
kabisa , hua na shangaa wale unakuta mmoja yupo Dar kikazi mwingine Mwanza 😂
 
Biashara imekuwa biashara, tuna maliza mpaka miezi kadhaa hatuonani.

Juzi nimekuta kanipigia simu , nikasema nimpigie Mama mtoto wangu, daah...! anapokea simu ananambia "ulikua unasemaje" , nikaikata simu mara moja.

Bora tumeachana kabla hatujaoana tume epusha mengi.Sasa hivi bora ni deal na Mishangazi yangu tu.

Mkiona mahusiano yanaanza kuleta mapicha picha ni heri kukaa nayo kando na kufanya mambo mengine ya msingi.
Kwani lazima uwe na mishangazi😂😂huwezi kuwa mwenyewe na ww?
 
Back
Top Bottom