Superficial
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 232
- 471
Watajileta kivipi kama hauwafati,au unasema ukiwa na pesa ni kama unakuwa na energy tofauti.We tafuta pesa tu watajileta
Pesa ni sumaku ya wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajileta kivipi kama hauwafati,au unasema ukiwa na pesa ni kama unakuwa na energy tofauti.We tafuta pesa tu watajileta
Pesa ni sumaku ya wanawake
Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiWatajileta kivipi kama hauwafati,au unasema ukiwa na pesa ni kama unakuwa na energy tofauti.
Mwanamke anatongozwa sana unakuta kwa siku hata wanaume 10 wamemtongoza kwa hyo ni ngumu kuwakataa wote na ukizingatia upo mbali naeWakuu msiseme hivo mnanitia wasiwasi, kwa sasa niko Dom kikazi na yeye yuko mkoani na kurudi nyumbani ni baada ya siku 21 na leo ni siku ya 3, hapo vipi na mimi watapita naye wasela
Hujanielewanitafute kwa ajili ya wanawake hiyo ni big no
Distance ni mtihani mzuri wa kupima uimara wa mahusiano yenu maana pale mtu anapokuwa mbali na bado ukaona ni bora zaidi kwako kuliko hizo hisia na sex za ghafla, hapo ndipo utamtambua kama THE ONE. Hivyo, Kama distance inaweza kuyaua mahusiano yako bhasi hayajawahi kuwa na uhai tokea mwanzo.Katika mazingira ya kibongo, distance ni number one killer wa mahusiano. Jitahidi sana uwe close na mwenzio close, else ni suala la muda
Distance haojawahi kuwa haitowahi kua rafiki wa mahusiano
Ndoa or not
Hahahaha 🤣Kumetokea Nini Mtumishi
kwisha habari yakoWakuu msiseme hivo mnanitia wasiwasi, kwa sasa niko Dom kikazi na yeye yuko mkoani na kurudi nyumbani ni baada ya siku 21 na leo ni siku ya 3, hapo vipi na mimi watapita naye wasela
Sijamaanisha utafte ela za kuwapa wanawake,ukiwa na pesa unakuwa maarufu so wanajileta wenyewe unachagua umtakaekweli cjakuelewa
Dahkwisha habari yako
Hapo umenena mkuuuWe tafuta pesa tu watajileta
Pesa ni sumaku ya wanawake