Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMahusiano ya mbali matamu sana.
😂😂😂ni huzuni kweli kweli...
pole na wewe, mimi wangu tokea kaanza biashara kawehuka kabisa .Ngoja aende bna .Pole sana mkuu ila hiyo response sio kabisa, mimi nna wangu tangu nishift mkoa niliona kaanza mapicha picha, mawasiliano yakapungua ananitafuta na anarespond akiwa na uhitaji wa hela tu na namtumia. Nikaona ndio kashafanya ndio utaratibu nikaacha kurespond, kwasasa imekatika mwezi na zaidi sirespond kwa chochote.
Ukiona mtu haeleweki dawa ni kumpotezea.
Hapo lazima kuwe na ndoa 3 in 1. Mbili ndoa za kweli zenye mahaba na hii nyingine kwa ajili ya uzazi. Kama mtafanikiwa kuwa na kawivu kidogo tu husiano linakufakabisa , hua na shangaa wale unakuta mmoja yupo Dar kikazi mwingine Mwanza 😂
Sio kipimo kizuri mkuu. Hatutest sumu kwa kuilamba.Distance ni mtihani mzuri wa kupima uimara wa mahusiano yenu maana pale mtu anapokuwa mbali na bado ukaona ni bora zaidi kwako kuliko hizo hisia na sex za ghafla, hapo ndipo utamtambua kama THE ONE. Hivyo, Kama distance inaweza kuyaua mahusiano yako bhasi hayajawahi kuwa na uhai tokea mwanzo.
Kama mapenzi yenu ni hadi mgandane na kulindana bhasi ni kitu temporary tu kinachosubiri sababu za kuisha na lazma kiishe
Na kwanini ucheat?matamu ukiwa hujaanza kucheat
Biashara zinawachangamsha maana wanakutana na watu wengi tofauti tofauti.pole na wewe, mimi wangu tokea kaanza biashara kawehuka kabisa .Ngoja aende bna .
Yanawanufaisha zaidi wanawake kwa sababu kuhudumiwa kupo pale pale.Mahusiano ya mbali matamu sana.
Weeeeh! Kwahiyo nyie hamnufaiki?Yanawanufaisha zaidi wanawake kwa sababu kuhudumiwa kupo pale pale.
Sio kama nyie, ila raha yake unakuwa umejipatia sababu ya kucheatWeeeeh! Kwahiyo nyie hamnufaiki?
Na hatutokufa kwa dipresheni, tukiwa mbali najizima data tukitafutana mbona fresh tu na tusipotafutana pia ni sawa ila tukikutana n kama tulikuwa tunaishi wote.🤣🤣🤣🤣 Dipresheni lazima ziwaueeeee!
Sasa kwanini ucheat!!Sio kama nyie, ila raha yake unakuwa umejipatia sababu ya kucheat
Ile kitu ukiipata kwa wakati huwa inaondoa dipresheni and the vice versa is true 😂Sasa kwanini ucheat!!
Wacha bwana!!Ile kitu ukiipata kwa wakati huwa inaondoa dipresheni and the vice versa is true 😂