Umbali umeniachanisha na Mchumba wangu

Umbali umeniachanisha na Mchumba wangu

Pole sana mkuu ila hiyo response sio kabisa, mimi nna wangu tangu nishift mkoa niliona kaanza mapicha picha, mawasiliano yakapungua ananitafuta na anarespond akiwa na uhitaji wa hela tu na namtumia. Nikaona ndio kashafanya ndio utaratibu nikaacha kurespond, kwasasa imekatika mwezi na zaidi sirespond kwa chochote.

Ukiona mtu haeleweki dawa ni kumpotezea.
 
Pole sana mkuu ila hiyo response sio kabisa, mimi nna wangu tangu nishift mkoa niliona kaanza mapicha picha, mawasiliano yakapungua ananitafuta na anarespond akiwa na uhitaji wa hela tu na namtumia. Nikaona ndio kashafanya ndio utaratibu nikaacha kurespond, kwasasa imekatika mwezi na zaidi sirespond kwa chochote.

Ukiona mtu haeleweki dawa ni kumpotezea.
pole na wewe, mimi wangu tokea kaanza biashara kawehuka kabisa .Ngoja aende bna .
 
Distance ni mtihani mzuri wa kupima uimara wa mahusiano yenu maana pale mtu anapokuwa mbali na bado ukaona ni bora zaidi kwako kuliko hizo hisia na sex za ghafla, hapo ndipo utamtambua kama THE ONE. Hivyo, Kama distance inaweza kuyaua mahusiano yako bhasi hayajawahi kuwa na uhai tokea mwanzo.

Kama mapenzi yenu ni hadi mgandane na kulindana bhasi ni kitu temporary tu kinachosubiri sababu za kuisha na lazma kiishe
Sio kipimo kizuri mkuu. Hatutest sumu kwa kuilamba.
 
🤣🤣🤣🤣 Dipresheni lazima ziwaueeeee!
Na hatutokufa kwa dipresheni, tukiwa mbali najizima data tukitafutana mbona fresh tu na tusipotafutana pia ni sawa ila tukikutana n kama tulikuwa tunaishi wote.
 
Back
Top Bottom