Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Woooi. 😀Eeeh...ukishatupwa ..utasave nn sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woooi. 😀Eeeh...ukishatupwa ..utasave nn sasa
Kwamba nianze kusahau ?Ngoja siku kumbukumbu zianze kupotea kidogo kidogo.
Hahahahaha..sawa sawa imekaa vzr ,tatizo linakuja leo una msave my nini huko...baada ya muda mnaachana..unafuta namba...unapata mwingine una save tena my nini huko....hahahahaMwanzo nilimsave Mi Corazon, na hilo nitabadili nikijisikia kufanya hivyo.
Mtu ukimpenda majina mazuri hayaishi, eti?
Na wewe umemuamini Mkuu?Save namba hiyo status utaki kuview?
Michepuko ya hapa na pale nihangaike ku save kweli?Woooi. 😀
Rafiki ni kweli kabisa sija save ..Na wewe umemuamini Mkuu?
Huyu ndio mtu wa kwanza kumsave kwa majina hayo katika simu yangu, kaka mzuri ni exceptional.Hahahahaha..sawa sawa imekaa vzr ,tatizo linakuja leo una msave my nini huko...baada ya muda mnaachana..unafuta namba...unapata mwingine una save tena my nini huko....hahahaha
Kama ni hivyo hapo ni sawa rafiki.Michepuko ya hapa na pale nihangaike ku save kweli?
Kwa hiyo rafiki penzi likiisha inabidi na namba uilazimishe kuisahau ili itoke kichwani. 😅Rafiki ni kweli kabisa sija save ..
Eeeh si limeisha Rafiki ikae kichwani kufanya nnKwa hiyo rafiki penzi likiisha inabidi na namba uilazimishe kuisahau ili itoke kichwani. 😅
Na hata akiwepo wa kidumu sito save namba yakeKama ni hivyo hapo ni sawa rafiki.
Hahahaaa. LolEeeh si limeisha Rafiki ikae kichwani kufanya nn
HahahahahaHahahaaa. Lol
Ndio na wengi ndivyo wanavyofanya siku hizi.Na wewe umemuamini Mkuu?
Uzee huja na kusahau au bado under 20?Kwamba nianze kusahau ?
Heee! Kwa nini sasa rafiki?Na hata akiwepo wa kidumu sito save namba yake
Kumbe.Ndio na wengi ndivyo wanavyofanya siku hizi.
Basi tu ni style nayoipendaHeee! Kwa nini sasa rafiki?
Kama mi nishaufikia.Uzee huja na kusahau au bado under 20?