Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Vitu gani hivyo, kwanza kabisa sisapoti kile chama chaoHahahahaha..halafu ushaanza kuwa msahaulifu ? We utakua unatumia vitu sivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu gani hivyo, kwanza kabisa sisapoti kile chama chaoHahahahaha..halafu ushaanza kuwa msahaulifu ? We utakua unatumia vitu sivyo
hua inaleta furaha ukiwa umeshiba ila kama una njaa Thubutu!Toa mahibuu
Hua inaleta furaha sana
Hahahahaha kivipi, 51 sio mzee ..ukiona 51 kazeeka ujue huyo choka mbaya kweliUna jidefend vizuri
Chama gani hichoVitu gani hivyo, kwanza kabisa sisapoti kile chama chao
kumbe mkuu maisha safi kabisa. Kijana wa zamaniHahahahaha kivipi, 51 sio mzee ..ukiona 51 kazeeka ujue huyo choka mbaya kweli
Cha kijani na sera zakeChama gani hicho
Hahahahaha..kumbe mkuu maisha safi kabisa. Kijana wa zamani
Hahahahaha..oh hiko chama cha mipango..mdg wangu hii dunia we angalia wapi patakupa maisha..acha kuchagua vituCha kijani na sera zake
Wengine wako ktk vyama kuweka misingi yao na familia zao..usije kujikuta wewe ni mpiga debe mkuu wa mtu then ukaachwa hapo hapo km kuna fursa hata huko pita nayo..Cha kijani na sera zake
Ushauri mzuri ila sio kwanguWengine wako ktk vyama kuweka misingi yao na familia zao..usije kujikuta wewe ni mpiga debe mkuu wa mtu then ukaachwa hapo hapo km kuna fursa hata huko pita nayo..
Unataka niwe kama Lucas Mwashambwa ?Hahahahaha..oh hiko chama cha mipango..mdg wangu hii dunia we angalia wapi patakupa maisha..acha kuchagua vitu
Mi mwenyewe nina line ya nyumbani mpaka leo hata namba zake sizijuagi.Mimi tofauti na zangu siwezi na nikiweza ni kwa masaa machache sana.
Hahahaa. LolHahahahaha..51 sio mzee
Woiiiiih!! Enttal beck ndo kwa kiswahili inakua mchumba mzuri?Central beck
Yaan beki wa katikati anaekaba vzr[emoji2]
Muwe munatusalimia. 🤪🤪Bado yanki under 45