Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakomaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi Yako najua kupenda wallah naingia mzima mzima na magambot [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wewe ni mimi kabisa, nna namba ya voda siitumiagi sana, imegoma kabisa kunasa kichwani.Mi mwenyewe nina line ya nyumbani mpaka leo hata namba zake sizijuagi.
Nakuuliza mie mdogo ako, [emoji23][emoji23][emoji23]Nimemsave Mali...
Nisiulizwe[emoji2]
Wewe ni above 45?Muwe munatusalimia. 🤪🤪
Poleeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka sasa windows is still hibernating, sijaambulia chochote [emoji23]
Msalimie tu siezi kuchosha ubongo kutafuta pesa na kuunlock codes[emoji23]
Ahsante tajiriPoleeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅Una jidefend vizuri
Ndo ivo boss!! [emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante tajiri
Wawe waamkia kabisaMuwe munatusalimia. 🤪🤪
Uzee mwisho chalinze kumbe huko dasalama hata ukiwa na 60+ sio mzeeHuyo bado hajazeeka sana, na hivi anaishi DSM walishasema Uzee mwisho Chalinze 😜
Tumebaki Wazee sisi tu 😜🙌
Baby fantasy yenu lini?Tuseme anaitwa yombo🤣
Hata kijana wa hovyo huzeeka piaWazee nuksi sana hao, hawataki kuzeeka kama Mzee Grahams hapa
Ukiwakuta pale geti la Magufuli hostel wanavyowavizia madenti utasema hawana miaka 65 😅
Jitahidi usiwe Kijana wa hovyo tu 😜Hata kijana wa hovyo huzeeka pia
Mambo ya Wakubwa hayo Dogo...Ukifika utaelewa..Nakuuliza mie mdogo ako, [emoji23][emoji23][emoji23]