Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
amen mkuu barikiwa sana.Mungu awape maisha marefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amen mkuu barikiwa sana.Mungu awape maisha marefu
Ex wangu siku za mwisho mwisho wa ndoa yetu alikuwa ameni-save kwa jina la ''hapendiki''. Na mimi nilikuwa nimem-save kama ''mama huruma''.My Love ❤️❤️
🙏🙏Ahsante Swahiba...
Huu ndio ukorofi tunao zungumzia sasa 😂Her mkisi 🤣
Wapelekee zawadi basi 🙂Hongera kwa wazazi wangu kwa msingi mzuri wa malezi yaliyonifanya niwe hivi hadi sasa.
Upo sawa mkuuNadhani suala la namna ya kuseviwa kwenye Kitabu cha Majina ya kwenye simu inaendana na Umri pia
Mkiwa kwenye 20-35 utakutana na Majina mazuri mazuri tu kama Sweetie/Honey/my everything n.k
Mkiwa mwenye 35-45 utakutana na Majina ya Wife/Husband
Mkiwa above 45 utakutana na Majina ya Mama Nanii/Baba nanii/Jina lako full yaani kama ni Grahams ama Nikifa MkeWangu Asiolewe
Kama mna Wazee wenu nyumbani nenda ushike simu ya Baba/Mama yako then jaribu kuipiga namba ya Baba/Mama yako utaona jina linalotoka
Kwasasa Vijana furahieni Majina mazuri mazuri mliyoseviwa ila baada ya kuishi ndoani miaka 10/20/30 ya Ndoa utakuja kuona utakavyokuwa umeseviwa
Etugrul Bey ...😂😂😂Nmemsevu ertuglu bei
Maana mapanga kama yote😂
Ahsante nishawaambia sana na zawadi ndogo ndogo kadri nilivyojaliwa ambazo naona bado hazifikii thamani ya walichonipa.Wapelekee zawadi basi 🙂
Or atleast tell them asante...hata kama umeshafanya hivyo kabla. Waambie na wanaJF tunawapa 🫡 😁
Etugrul Bey ...😂😂😂
Never say never...Kwanza sijawah kusave mwanaume jina la mahaba na haitotokea
Ila mwisho pannaniwazishaSababu yupo vizuri kila sehemu...kitabia,kimuonekano yani ki kila kitu
Ila mwisho pannaniwazisha
Smart + Ass
Oh my Ass is smart 🤓
Any way Vipi Leo Madrid na Bayern
MAMA CHANJAMoja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako
Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza
Je umesev vipi jina la kipenzi chako?
😊 good night african beauty Bantu Lady
Nyiewengine lolote liwakute😅