Ume save vipi jina la mkeo/mumeo/mpenzi kwenye simu yako

Ume save vipi jina la mkeo/mumeo/mpenzi kwenye simu yako

Nadhani suala la namna ya kuseviwa kwenye Kitabu cha Majina ya kwenye simu inaendana na Umri pia

Mkiwa kwenye 20-35 utakutana na Majina mazuri mazuri tu kama Sweetie/Honey/my everything n.k

Mkiwa mwenye 35-45 utakutana na Majina ya Wife/Husband

Mkiwa above 45 utakutana na Majina ya Mama Nanii/Baba nanii/Jina lako full yaani kama ni Grahams ama Nikifa MkeWangu Asiolewe

Kama mna Wazee wenu nyumbani nenda ushike simu ya Baba/Mama yako then jaribu kuipiga namba ya Baba/Mama yako utaona jina linalotoka

Kwasasa Vijana furahieni Majina mazuri mazuri mliyoseviwa ila baada ya kuishi ndoani miaka 10/20/30 ya Ndoa utakuja kuona utakavyokuwa umeseviwa
Upo sawa mkuu
 
Wapelekee zawadi basi 🙂
Or atleast tell them asante...hata kama umeshafanya hivyo kabla. Waambie na wanaJF tunawapa 🫡 😁
Ahsante nishawaambia sana na zawadi ndogo ndogo kadri nilivyojaliwa ambazo naona bado hazifikii thamani ya walichonipa.

Nawaombea baraka, nazidi kuwapenda na kuwepo wakinihitaji huku nikiwajali kwa kadri ninavyojaaliwa bila kusahau kuwaenzi kwa kurithisha malezi yao kwa future generation. Nawapenda sana na wanajua.
 
Moja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako
Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza

Je umesev vipi jina la kipenzi chako?


😊 good night african beauty Bantu Lady
Nyiewengine lolote liwakute😅
MAMA CHANJA
 
Back
Top Bottom