lufakale
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 321
- 566
Huna mpenzi, sina mpenzi. Sisi ni ndege tunaofanana, come on let us fly together.Ambao hatuna wapenzi tunasoma tu comments [emoji897][emoji3047]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna mpenzi, sina mpenzi. Sisi ni ndege tunaofanana, come on let us fly together.Ambao hatuna wapenzi tunasoma tu comments [emoji897][emoji3047]
Ambao hatuna wapenzi tunasoma tu comments [emoji897][emoji3047]
Kgb, madondola,gattuso, g.o.a.t, guru, GPSMoja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako
Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza
Je umesev vipi jina la kipenzi chako?
😊 good night african beauty Bantu Lady
Nyiewengine lolote liwakute😅
Humu matani mengi rafiki, wala hamna shida.Nllijua hivyo baada ya kuona tag zenu
Sorry
Umechagua kua mtumwa
We kenge maji upo?Ivi nimekusevu nani njoo ujitaje
Senkyu. Na kwako pia!Sawa
Usiku mwema 👋
Ndio maana mapenzi yanakutesa kila siku kulialia humu.D mwanza, D Takukuru
Nisave vizuri tukiachana je… nikiona siku naenda kuonana nae na save D
Kwanza sijawah kusave mwanaume jina la mahaba na haitotokea
🤣My ATM😋🥰