Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,437
Reaction score
1,883
Nakumbuka miaka ya 90, hakukuwa na access sana na mitandao hasa hii ya kijamii,
Hapa naongea kabla ya Facebook, kabla ya tweeter, JF, Badoo, instagram hata whatsapp,

Najua wahenga walijua mitandao hii na kuitumia, Mara nyingi tulitumia computer za vichogo Pentium 1,2,3 ikaja Windows 94,96,98, XP

Baadae watu wanaanza kupata simu za Nokia N70, 72,77
Zinawezesha kuweka applications hizo

1.My gamma huu ulitumiwa sana na watanzania hasa waishio nje na wanaoishi kwa wadosi Tanzania,

2. Agamata, huu watanzania pia walikuwapo ila wachache sana,

3.Migg 33
4.Nimbuzz
5. Hi 5
6.Yahoo messenger pia
7.Talk to strangers
8. Yes I chat
9.Geocities
10.The Grid
11. Tagged.com


Je we wahenga mlikuwa na akaunt katika forum ipi?
 
Nakumbuka miaka ya 90, hakukuwa na access sana na mitandao hasa hii ya kijamii,
Hapa naongea kabla ya Facebook, kabla ya tweeter, JF, Badoo, instagram hata whatsapp,

Najua wahenga walijua mitandao hii na kuitumia,

1.My gamma huu ulitumiwa sana na watanzania hasa waishio nje na wanaoishi kwa wadosi Tanzania,

2. Agamata, huu watanzania pia walikuwapo ila wachache sana,

3.Migg 33
4.Nimbuzz
5. Hi 5
6.Yahoo messenger pia

Je we wahenga mlikuwa na akaunt katika forum ipi?
Mh wengine hapo tuulizwe tu ulianza kutumia nokia ya tochi lini au ile philips, siemens. Lkn hii ya mitandao ya kijamii kwa miaka hyo uliyoitaja ilikuwa ni ndoto ya mtu asiyelala.
 
Mh wengine hapo tuulizwe tu ulianza kutumia nokia ya tochi lini au ile philips, siemens. Lkn hii ya mitandao ya kijamii kwa miaka hyo uliyoitaja ilikuwa ni ndoto ya mtu asiyelala.
Zilitumika kompyuta za vichogo
 
Mi nimetumka my gamma sana mtandao huo kidogo uniponze maana nilimla mke wa mtu tena afisa usalama, duh Alafu nikapata kidemu kingine cha masaki kinaitwa Nayamanda
 
Mh wengine hapo tuulizwe tu ulianza kutumia nokia ya tochi lini au ile philips, siemens. Lkn hii ya mitandao ya kijamii kwa miaka hyo uliyoitaja ilikuwa ni ndoto ya mtu asiyelala.
Wengi walitumia computer,hakukuwa na ma smartphone
 
Back
Top Bottom