Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yahoo inazunguka hadi muda wa kukaa cafe unaisha.
unauliza nini tatizo, wanasema ni network... ukiuliza network ndio nini hata mtaalam wa cafe naye kilaza. mimi nilikuwa nawaona kama wanaPHD ya IT kumbe ni masekretari tu.
Duuh,kaka mkubwa umeenda sana age aisee.Geocities ilikuwa ndiyo Facebook yetu 1998.
Oyoo !Yameisha!
HahahDuh enzi hizo za internet cafe ilikuwa biashara ya matawi sana, hapo muhunui life tyt nimechapa, niakajikongoja na ji Philips savy langu huku vijana wenzangu wakipasuka na motorola ratz na ma nokia N na E series! Ukicheki huku ma Sony ericsson duh,,,mambo yalikuwa moto!
ndioGrid ilikuaa ya voda