Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

Mi nimetumka my gamma sana mtandao huo kidogo uniponze maana nilimla mke wa mtu tena afisa usalama, duh Alafu nikapata kidemu kingine cha masaki kinaitwa Nayamanda
We kila uzi ni mademu
 
Umenikumbusha mbali sana, nakumbuka kipindi hicho naenda Nakiete Internet Cafe Mwenge, au Posta opposite na CBE, nimetumia sana Yahoo Messenger, Hi5, Marafiki.com, DarHotwire ya IPP, Michuzi Blog, Bongo celebrity, Jambo Forums na nyinginezo, those were the days, siku hizi niko hapa JF na Twitter tu.
 
Umenikumbusha mbali sana, nakumbuka kipindi hicho naenda Nakiete Internet Cafe Mwenge, au Posta opposite na CBE, nimetumia sana Yahoo Messenger, Hi5, Marafiki.com, DarHotwire ya IPP, Michuzi Blog, Bongo celebrity, Jambo Forums na nyinginezo, those were the days, siku hizi niko hapa JF na Twitter tu.
Kumbe hapo powa sana
 
Ilikuwa 2005 ndipo nilipoanza tumia social network nakumbuka muda huo nilikuwa nna tumia siemens c55 na nilikuwa nna fahamika sana kwa kuwafanyia watu configurations za gprs katika simu zao, simu ile hata haikuwa na kioo cha rangi ila niliweka ingia chat rooms za peperonity.com , redplanetsex.com waptrick.com hata niliweza download polyphonic ringtones za miiti ya simu maarufu ulikuwa in da club ya 50cent ulikuwa ukiwa na hiyo tone simu yako inapata uthamani sana, a true social network to me nilianza tumia perthspot.com kabla ya kujiunga rasmi facebook 2008, niliijua facebook baada ya kukutana na ads ya facebook nikiwa nna hudumia perthspot yangu pale internet café... kweli tumetoka mbali mno
 
Juzi kati hapa Vidacom walikuwa wanatoa zawadi kwa wateja wao wa zamani sana walio anza nao wakati mtandao huu ulipo anza. Nashauri na mitandao mingine ingeiga hili
 
Hahaahaahaa
1538715095882.png

hapo mara ya kwanza nasikiliza RFA mtandaoni
 
Mimi nimeanza 2008 nilijiunga na Yahoo.. eskimi .badoo .phonerotica(hapa nilikuwa mpaka nafanya chatting) dinahicious.blogspot .michuzi jr.2go.peperonit . Facebook .whatsaap . Hi5 .Na mingine mingi tu ambayo kwa sasa nimeisahau .. palikuwa na cafe 1 hivi tabata karibu na shule ya st.mary ilikuwa ina nimalizia sana pesa zangu siku za weekend... net bwana inautamu wake enzi hizo ilikuwa nikiingia cafe sitamani kutoka kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeanza 2008 nilijiunga na Yahoo.. eskimi .badoo .phonerotica(hapa nilikuwa mpaka nafanya chatting) dinahicious.blogspot .michuzi jr.2go.peperonit . Facebook .whatsaap . Hi5 .Na mingine mingi tu ambayo kwa sasa nimeisahau .. palikuwa na cafe 1 hivi tabata karibu na shule ya st.mary ilikuwa ina nimalizia sana pesa zangu siku za weekend... net bwana inautamu wake enzi hizo ilikuwa nikiingia cafe sitamani kutoka kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Eskimi ulikuwa watafuta nini huko 😀😀😀😀
 
Juzi kati hapa Vidacom walikuwa wanatoa zawadi kwa wateja wao wa zamani sana walio anza nao wakati mtandao huu ulipo anza. Nashauri na mitandao mingine ingeiga hili
Line za simu zilianza kusajiliwa mwaka 2008, Vodacom waeleze kabla ya hapo walikuwa wanawafahamu wateja wao? Nimeanza kuitumia Vodacom 2002

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom