Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

Inawezekana kweli anatakiwa kukuamkia lakini hicho sidhani kama ni kipimo sahihi cha umri inategemea mazingingira mtu aliyokulia. Mimi nimeanza kutumia mitandao effectively 2011 lakini nina uhakika umri nimekuzidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Aahhh!wapiii!!kantwe hujanizidi hata kidogo nagoma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom