Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu vocha inaitwa Dolaline ya voda ikiwa 32,000/= unapata na manual bonge la kitabu kwny pack ukasome namna ya kutumia line BUZZ(sasa Tigo) line 22,500 iko ndANI YA kasha la cd na kakitabu flani kadogo manual ya jinsi ya kutumia line bila kusahau wazee wa tritel walioibuka na mabei yao makubwaaa vilaza sana watu hadi kuwekewa mavitabu ya kusoma notes ili uelewe kuweka kline jinsi ya kupiga kutuma sms na kucheza gemu la nyoka
LG au l6 motorolaMimi 2009 sekondari Kiluvya tulikua tunaaccess Phonerotica...com na kudownload games WAPTRICK.CCOM kwa simu ya rafki yangu alipewa na bro wake alitoka ng'ambo KIMOTOROLA matata.
Mitandao ya kijamii nilikua siijui hata,naona uwongo uwongo tu.
Alafu unalipia kwa nusu saayahoo inazunguka hadi muda wa kukaa cafe unaisha.
unauliza nini tatizo, wanasema ni network... ukiuliza network ndio nini hata mtaalam wa cafe naye kilaza. mimi nilikuwa nawaona kama wanaPHD ya IT kumbe ni masekretari tu.
Utaisikiaje wakati bado ulikuwa kiunoni mwa baba yako?Nimeanza na facebook 2008 Kama sio 2009. Hiyo mingine sijawahi hata kuisikia