Marahaba mdogo wangu, 2001 form I, dah!!!
Aahhh!wapiii!!kantwe hujanizidi hata kidogo nagoma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inawezekana kweli anatakiwa kukuamkia lakini hicho sidhani kama ni kipimo sahihi cha umri inategemea mazingingira mtu aliyokulia. Mimi nimeanza kutumia mitandao effectively 2011 lakini nina uhakika umri nimekuzidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo mi niko form 1 hapoo!ujue[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]Looooh. Mwaka huo Niko standard 3
Namaliza six, eeh uhenga uhengani mdogo wangu!!!
Namaliza six, eeh uhenga uhengani mdogo wangu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] 2001 ulikuwa form one eeh? Sema shikamoo dadaAahhh!wapiii!!kantwe hujanizidi hata kidogo nagoma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Marhabaaa!!!eeh!mi mbigiii[emoji23][emoji23][emoji23] 2001 ulikuwa form one eeh? Sema shikamoo dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Marahaba tena mdogo wangu, ila kama 49 mtu ni kijana, basi bado ujana upo[emoji39][emoji39]
We ni kula wake za watu kila siku ?Mi nimetumka my gamma sana mtandao huo kidogo uniponze maana nilimla mke wa mtu tena afisa usalama, duh Alafu nikapata kidemu kingine cha masaki kinaitwa Nayamanda
NamMie nilikuwa bado mdogo sana.
Hahaha π€£ Dahh sio powa ilikwayahoo inazunguka hadi muda wa kukaa cafe unaisha.
unauliza nini tatizo, wanasema ni network... ukiuliza network ndio nini hata mtaalam wa cafe naye kilaza. mimi nilikuwa nawaona kama wanaPHD ya IT kumbe ni masekretari tu.