Nsaji wa Lila
Senior Member
- Feb 1, 2021
- 118
- 152
Km ndio kwa staili hiyo basi nimefika mikoa yote.Kama umefika Iringa na Mbeya, most likely umepita Njombe lakini hukuwa unafahamu kwa kuwa barabara ya Tazam kuanzia kijiji kinaitwa Nyigo karibu na Makambako hadi maeneo ya karibu kidogo na Igawa, hilo eneo hapo kati ni mkoa wa Njombe...
Maana mie hadi nifike makao makuu ya mkoa ndio nahesabu km nimefika