Umebutua shilingi ngapi Betting/Forex?

Umebutua shilingi ngapi Betting/Forex?

Kuna watu forex wanasoma week moja AF wanataka kutrade mtaliwa vichwa mpk mapumbu forex inataka watu wanaojielewa kiakili na wenye knowledge ya kutosha Incase naish kwasabab ya forex na kazi bado nafanya usiniulize kwanin sijaacha kazi
 
PG NO: 2/7

NARUDIJE FOREX

Nimeeleza maamuzi ya kurudi forex kwene pg 1/7

Hatua ya kwanza
Nimefungua Demo acc kwa ajili ya kumonitor acc yangu Real
IMG_1977.png

Nimepewa Dollar 100,000


Lakini piya nimetafuta acc yangu ya zamani niliwai kufungua na Templerfx

Hii nilikua nimedeposit dollar 50 (50$) nikaliwa zote zikabaki 0.83
IMG_1976.jpg


Mnashauri nianze na sh ngapi
 
Forex haitaki hisia bali akili na mahesabu makali,mkuu cheating kwenye forex ipo hayo ma bank makubwa Kuna namna yanaliendesha soko ili faida zielekee kwao.. sema ni vile hawafanyi wewe kushituka!.
This world it's the world of cheating!.

mmmh
 
PG NO: 2/7

NARUDIJE FOREX

Nimeeleza maamuzi ya kurudi forex kwene pg 1/7

Hatua ya kwanza
Nimefungua Demo acc kwa ajili ya kumonitor acc yangu Real
View attachment 2832447
Nimepewa Dollar 100,000


Lakini piya nimetafuta acc yangu ya zamani niliwai kufungua na Templerfx

Hii nilikua nimedeposit dollar 50 (50$) nikaliwa zote zikabaki 0.83
View attachment 2832450

Mnashauri nianze na sh ngapi
Nikajua labda umejifunza ulikokuwa unakosea?

Nikuulize swali dogo, mpaka hapo ulipo umesoma "Advanced Courses" za fx ngapi?

Unapaswa angalau umeshasoma 3 au 4 hivi, ili uwe na uwezo wa kuliona soko kutoka angle zote...
 
Nikajua labda umejifunza ulikokuwa unakosea?

Nikuulize swali dogo, mpaka hapo ulipo umesoma "Advanced Courses" za fx ngapi?

Unapaswa angalau umeshasoma 3 au 4 hivi, ili uwe na uwezo wa kuliona soko kutoka angle zote...

Nitumie mkuu hizo vitabu
 
Wakuu binafsi nilianza kubet 2012 nikaja kuacha 2016

Pia niliijua forex 2017 nikafanya nakushindwa nikaacha nikarudi kisha nikaacha 2019.

Sasa Nataka nirudi tena kwnye forex nimegundua tatizo forex si kama betting forex kama unajua unajua na kama hujui hujui.

KWANINI NILIACHA
Kulingana na ugumu wa kuipatia kufanya analysis nilikuja kuamini labda ni matapeli
au kuna namna wana manipulate soko au pips kukufanya uloose

NANI AMENI MOTIVATE
kuna staff mwenzangu hapa anapiga hadi laki 7 forex hihii hiii mwanzo nilikua nasikia watu wanapiga hela ila sikua na real life example.

WANASEMA KUONA NI KUAMINI NAMI NIMEONA


PG NO: 1/7
CriptoSwaps
Assalam alaykum warrahmatullahi wabarakatu za leo ndugu kuna fursa hiyo ya uwekezaji kupitia weecoins kwa mtaji wa usdt 10 naomba upitie na uchukue hatua
 
CriptoSwaps
Assalam alaykum warrahmatullahi wabarakatu za leo ndugu kuna fursa hiyo ya uwekezaji kupitia weecoins kwa mtaji wa usdt 10 naomba upitie na uchukue hatua
Mbona una lazimisha sana watu wachukue hatua, ww umetengeneza bei gani?. Hamna hela rahisi hivyo, wewe mwenyewe unatoka jasho kutafuta commission.
 
Forex na betting Ni yale Yale ,Tena kama unafanya analysis na kufuatilia game , betting Ni rahisi mno na unapiga pesa ,Tena Kwa hizo mitaji zenu za forex ukiingia nazo betting unapiga pesa mpaka unaona maisha Ni rahisi ....imagine una mtaji WA $50 sawa na 125,000,,,kwenye betting huo Ni mtaji mkubwa mno ...
 
Back
Top Bottom