Umebutua shilingi ngapi Betting/Forex?

Umebutua shilingi ngapi Betting/Forex?

Broker pekee ambaye kwa Sasa unaweza kutrade na kutoa pesa zako kupitia M-PESA ni Deriv tu , wanamazingira mazuri Sana ya kukuwezesha kudeposit na kuwithdraw kwa M-PESA kuliko broker yoyote .

Kingine pia hauhitaj Hadi uverify account yako , ukishaweka Jina Lako Email na namba ya Simu unaanza kutrade Kama kawaida, Kama unahangaika kupata link nimekuwekea hapa chini
 
Mwaka jana December tulichanga tukafika 1.4M tukanunua ProFix acc na jamaa yangu, tukaipush level 2 za Trial kuja Live tukapiga 20M ndani ya Miezi 3, tukatoa na kugawana.. ile 10M ikamaliza kibanda changu Kigamboni, nikaikimbia Forex kama kichaaa, najua ukiizoea ni either unafilisika au utakuwa tapeli., ile acc inapumulia mashine maana ilikuwa na 100k usd. Ikabaki 90k usd, maana yake huwezi itrade (wanaojua ProFix mnanielewa)..
Ps: nilikurupuka kutrade hela mbuzi 2017 mpaka 2019 nikaacha, nilikulaga shoti kama 700k za kibongo mpaka mwana aliponishauri tununue ProFix tukomae (akomae yeye maana niko busy na kujenga taifa kwa njia halali)..
 
Wakuu binafsi nilianza kubet 2012 nikaja kuacha 2016

Pia niliijua forex 2017 nikafanya nakushindwa nikaacha nikarudi kisha nikaacha 2019.

Sasa Nataka nirudi tena kwnye forex nimegundua tatizo forex si kama betting forex kama unajua unajua na kama hujui hujui.

KWANINI NILIACHA
Kulingana na ugumu wa kuipatia kufanya analysis nilikuja kuamini labda ni matapeli
au kuna namna wana manipulate soko au pips kukufanya uloose

NANI AMENI MOTIVATE
kuna staff mwenzangu hapa anapiga hadi laki 7 forex hihii hiii mwanzo nilikua nasikia watu wanapiga hela ila sikua na real life example.

WANASEMA KUONA NI KUAMINI NAMI NIMEONA


PG NO: 1/7
Jioni hii nimebutua laki 8 nimejaza laki 2 mafuta na kununua luku laki 3.... Iliyobak laki 3 nabet tena
 
Wamepigwa/Wanapigwa, Wamechakaa
Bwana Bure Ndugu Zangu Hayupo Sasa
Tuchape Kazi Kwa Bidii Tukimtanguliza Mungu Mbele



Huwezi Kupata Cash Ukiwa Umekaa Tu
 
Broker pekee ambaye kwa Sasa unaweza kutrade na kutoa pesa zako kupitia M-PESA ni Deriv tu , wanamazingira mazuri Sana ya kukuwezesha kudeposit na kuwithdraw kwa M-PESA kuliko broker yoyote .

Kingine pia hauhitaj Hadi uverify account yako , ukishaweka Jina Lako Email na namba ya Simu unaanza kutrade Kama kawaida, Kama unahangaika kupata link nimekuwekea hapa chini
Tickmill pia
 
Wakuu binafsi nilianza kubet 2012 nikaja kuacha 2016

Pia niliijua forex 2017 nikafanya nakushindwa nikaacha nikarudi kisha nikaacha 2019.

Sasa Nataka nirudi tena kwnye forex nimegundua tatizo forex si kama betting forex kama unajua unajua na kama hujui hujui.

KWANINI NILIACHA
Kulingana na ugumu wa kuipatia kufanya analysis nilikuja kuamini labda ni matapeli
au kuna namna wana manipulate soko au pips kukufanya uloose

NANI AMENI MOTIVATE
kuna staff mwenzangu hapa anapiga hadi laki 7 forex hihii hiii mwanzo nilikua nasikia watu wanapiga hela ila sikua na real life example.

WANASEMA KUONA NI KUAMINI NAMI NIMEONA


PG NO: 1/7

Ushindi wangu Leo ulikua zaidi ya Tsh. 33,000/=

Njoo bet na mimi kila siku uweze kushinda, betting ni umakini na bankroll management itakupa hela nzuri kila mwisho wa wiki.

Check link hapo chini ⬇️⬇️⬇️

Thread 'Bet zangu za leo (mkeka)' Bet zangu za leo (mkeka)
 
Wakuu binafsi nilianza kubet 2012 nikaja kuacha 2016

Pia niliijua forex 2017 nikafanya nakushindwa nikaacha nikarudi kisha nikaacha 2019.

Sasa Nataka nirudi tena kwnye forex nimegundua tatizo forex si kama betting forex kama unajua unajua na kama hujui hujui.

KWANINI NILIACHA
Kulingana na ugumu wa kuipatia kufanya analysis nilikuja kuamini labda ni matapeli
au kuna namna wana manipulate soko au pips kukufanya uloose

NANI AMENI MOTIVATE
kuna staff mwenzangu hapa anapiga hadi laki 7 forex hihii hiii mwanzo nilikua nasikia watu wanapiga hela ila sikua na real life example.

WANASEMA KUONA NI KUAMINI NAMI NIMEONA


PG NO: 1/7
upo sahihi lakini kosa kubwa ambalo noobies wanalifanya ni kudhan ya kwamba forex is get rich quick schem kitu ambacho sio kbs, wengine hudhan betting na forex ni sawa jamb ambal si sawa, ni kutokua na maarifa na taarifa sahihi juu ya biashara hizi 2 bothy forex trading & cryptocurrency trading, huenda uliipenda biashara lakin haukuekeza kwenye maarif yanayo jitosheleza, pia huenda ulihitaj zaid matokeo bila kufanya kile kinacho hitajika kuyapata matokeo hayo,
.
kua trader since 2016 hakukupi uhalali wa ku win hii biashara wat matters ni una maarifa kiasi gan juu yahii biashar, matokeo yapo baina ya nini unajua vs nini haujui, soko litakupa matokeo based on izo two things, huez kua na matokeo mazuri kama huna maarifa sahihi ya fx Trading, haijalishi uta trade miaka mingap
.
Utofaut wa betting na fx Trading ni nin..!? ukiachana na utofaut wa maana tu za majina yao pia hauhitaji elimu kujua kubeti, that's why hakuna sure odds haijalishi ni odds 10000 au 1 hakuna mweny uhakika kbs, that's why ukiona mtu ananunua odds ujue akili hana au haelewi anacho kifanya, unapokuja kweny fx, yenyew huez fanya chochote kama hujapewa elim inafanyaje kazi, wahusika ni akina nani, unatakiw to understand market language, structures na kila kitu juu mtu akikutumia chart akakuambia GBPUSD ina BUY/SELL kama unajua then ukitazam analysis utaelew exactly kwamba kwann itafanya ivo,
..
kikubwa ekeza zaid kweny maarifa, in a long run utakua sehem sahih, na pia usisahau this is not a get rich quick scheme
 
Nimesoma comments zote itoshe kusema acha Kila mtu aendelee kusimamia upande wake ambao anaona anapata chochote kitu.
 

 
Back
Top Bottom