Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hakuna cha sayansi hapo hueleweki πTatizo nimetumia sayansi kukuelezea na kama sayansi inakupiga chenga tutakesha hapa.. nishaona hapa itakuwa kivumbi mpaka unakuja kunielewa ibaki niseme inatosha..π
Poa babu hatuelewani...π€£Hakuna cha sayansi hapo hueleweki π
Kusikia kwa kenge ni mpaka damu zimtoke masikion. Kila mtu ana bahati na nyota yake, kila la heri.
Forex haitaki hisia bali akili na mahesabu makali,mkuu cheating kwenye forex ipo hayo ma bank makubwa Kuna namna yanaliendesha soko ili faida zielekee kwao.. sema ni vile hawafanyi wewe kushituka!.
This world it's the world of cheating!.
Nataka kuanza kubeti muongozo wenu tafadhari
Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi mkuu.mkuu mbona unanitisha
Nikajua labda umejifunza ulikokuwa unakosea?PG NO: 2/7
NARUDIJE FOREX
Nimeeleza maamuzi ya kurudi forex kwene pg 1/7
Hatua ya kwanza
Nimefungua Demo acc kwa ajili ya kumonitor acc yangu Real
View attachment 2832447
Nimepewa Dollar 100,000
Lakini piya nimetafuta acc yangu ya zamani niliwai kufungua na Templerfx
Hii nilikua nimedeposit dollar 50 (50$) nikaliwa zote zikabaki 0.83
View attachment 2832450
Mnashauri nianze na sh ngapi
Nikajua labda umejifunza ulikokuwa unakosea?
Nikuulize swali dogo, mpaka hapo ulipo umesoma "Advanced Courses" za fx ngapi?
Unapaswa angalau umeshasoma 3 au 4 hivi, ili uwe na uwezo wa kuliona soko kutoka angle zote...
Hakikisha umelipa Kodi kwanza na stock ya kutosha, mbali na hapo Kila la kherii[emoji120]
Wakuu binafsi nilianza kubet 2012 nikaja kuacha 2016
Pia niliijua forex 2017 nikafanya nakushindwa nikaacha nikarudi kisha nikaacha 2019.
Sasa Nataka nirudi tena kwnye forex nimegundua tatizo forex si kama betting forex kama unajua unajua na kama hujui hujui.
KWANINI NILIACHA
Kulingana na ugumu wa kuipatia kufanya analysis nilikuja kuamini labda ni matapeli
au kuna namna wana manipulate soko au pips kukufanya uloose
NANI AMENI MOTIVATE
kuna staff mwenzangu hapa anapiga hadi laki 7 forex hihii hiii mwanzo nilikua nasikia watu wanapiga hela ila sikua na real life example.
WANASEMA KUONA NI KUAMINI NAMI NIMEONA
PG NO: 1/7
Mbona una lazimisha sana watu wachukue hatua, ww umetengeneza bei gani?. Hamna hela rahisi hivyo, wewe mwenyewe unatoka jasho kutafuta commission.CriptoSwaps
Assalam alaykum warrahmatullahi wabarakatu za leo ndugu kuna fursa hiyo ya uwekezaji kupitia weecoins kwa mtaji wa usdt 10 naomba upitie na uchukue hatua
Haha biashara matangazoMbona una lazimisha sana watu wachukue hatua, ww umetengeneza bei gani?. Hamna hela rahisi hivyo, wewe mwenyewe unatoka jasho kutafuta commission.