Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna bendera 8 wanajeshi 7Wanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Moja ni ya jumuia ya east afrikaKuna bendera 8 wanajeshi 7
Dah hii picha ya cku nyingi ila management ya jeshi inatakiwa kuwa makini sana, huyo mkulu na kitambi chake hata kama kazi yake ni oficn tu still mwili wake ni reflection ya jeshi letu kimataifa maana ye ni mmoja wa mabosi wa jeshi na hapo kaliwakilisha jeshi la wananchi.Kimsingi kuwa na tumbo kubwa hvyo ni dalili ya uvivu,ulafi,kutokuwa na afya,ubinafsi.Jeshi lina watu wengi wenye miili mizuri wangeweza wakilisha.Wanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Hii picha kweli au ni Photoshop? Sio AI kweli? Maana siku hizi AI kawa mwanaharamu kabisa anaweza akakuchora ukiwa unafanya kituko cha MwakaWanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Mbona makasiriko... unamjua mshua nn?Nyie mnaombeza mwanajeshi wa Tz
Kwani mlitaka asinenepe?
Kwanza hadi kufika hiyo nafasi aliyopo ameshapambana vya kutosha na yupo ngangari.
Nyie kama mnamuona mayai basi jichanganyeni muone anavyowabomoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambi Cha mazoezi sio bia na nyama choma ya mbuziWanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131