😂😂Wa kwetu kakaa pozi la "kufanya usafi siku ya maandamano" 😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Wa kwetu kakaa pozi la "kufanya usafi siku ya maandamano" 😂🤣
utasikia mama anaupiga mwingiNchi inajiendea tu kama gar bovu aisee hivi mwanajeshi unapata wap mda wa kunenepa
Wa kwetu(Tz) anatunzwa vizuri na ukichanganya na kwamba nchi yetu ina Amani 24hr/7 hakuna sababu kwa nini mwili usitoe majibu sahihi.Wanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Ila kuna watu wakorofi humuWanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Sasa anawaza nini embu niambie hakuna vita tokea 1980 hadi leo wenzao tokea wazaliwe kulipuliwa tuNchi inajiendea tu kama gar bovu aisee hivi mwanajeshi unapata wap mda wa kunenepa
Acha basi 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌Mwanzo mwisho hakuna vita nchini mwake zaidi ya kufagia roads TU
Kuna wanajeshi 6 na mtu mmojaWanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Sio kwamba ni Mbinu za medani ndizo muhimu...au?Nchi inajiendea tu kama gar bovu aisee hivi mwanajeshi unapata wap mda wa kunenepa
Duh! Kiongozi; Lazima Umtake radhi kamanda na afande wetu.😳Mtanzania ana mimba.
RadhiDuh! Kiongozi; Lazima Umtake radhi kamanda na afande wetu.😳
Hao bidhaa nyingi ikiwemo chakula na vinywaji kwenye maduka yao hawalipii kodi.mwanajeshi wa Tz hayuko serious na kazi yake, arudishe hizo jezi
Poa. Uwe na amani mkuu.Radhi