Umeil Kheir, Mtangaziji Radio DW amestaafu leo

Umeil Kheir, Mtangaziji Radio DW amestaafu leo

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.

Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.

1581017009797.png
 
Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.

Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.

View attachment 1348805

Sasa mbona DW wenyewe kupitia instagram wameandika ameitumikia dw kwa miaka 42? Sasa kama kaanza kazi na dw mwaka 1988 ndo miaka 42 imetimia kweli hapo?🤔
 
HAKIKA AMEITUMIA TAARUMA YAKE VYEMA NA KWA UTASHI
 
Back
Top Bottom