Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.