fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooooh 🥺🥺🥺Alikua anatangaza vizuri sana hasa matamshi yake hachoshi kumsikiliza. Apumzike kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
MUM ~Muslim University Of MorogoroSalama Leku
AmetumikaUmeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.
View attachment 1348805
Ilinichukua miaka mingi sana kuja kugundua jinsia halisi ya huyu mtangazaji. Maana kupitia sauti yake, nilishindwa kabisa kufahamu kama ni mwanamke, au ni mwanaume.Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.
View attachment 1348805
Mleta uzi amekosea,ni kwama Bi Umilkheir alianza kutangaza DW 1978. Amehudumu kwa miaka 42
Uko sahihi, Comoro wanabonga kiswahili fresh kabisa kama wazenji tu..Acha urongo,huyu ni raia wa Comoro,Wacomoro wanaongea Kiswahili japo ni kama kiswahili cha kinyume,hapa Tanzania hasa sehemu za mwambao na Zanzibar wapo wengi sana,na wengi wao wameshika nyadhifa kubwa kubwa za kitaifa na kidini
Huwainafurahisha unapoona mtu wa JF anadanganya. Kitu hujui, kwanini kujitia kimbele mbele kujibu
Mvutaji sigara maarufu huyo mama na anakohoa ajabu. Alikuwa ananifurahisha anavyokohoa pembeni na kutangaza lakini wasikilizaji hawasikii kikohoho (kwa kisukuma) chakeAna sauti ya kibabe kama sauti ya Giggy Money.
Mtangazaji bora kabisa
Ova
Saa saba kamili ushatune dwEnzi hizo kulikua na Othman Miraji, Ramadhan Ali, Wajir Sheikh, na huyu Mwanamama Umeil Kheir, hauchoki kusikiliza DW.
Ilinipa uelewa wa mambo mengi sana kuhusu Dunia inavyoenda.Saa saba kamili ushatune dw
Ova
Kabisa mkuuIlinipa uelewa wa mambo mengi sana kuhusu Dunia inavyoenda.
Jioni nilikua naanza na Channel Afrika, ikifika kumi na mbili naenda DW, kumi na mbili na nusu nazungukia BBC namalizia na VoA.
Ukija mjini tutafutane mtaalam