papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,156
- 1,667
Correction. Alianza 1979.kwa mujibu wa mahojiano yake na Bruce Aman wa DW
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.
View attachment 1348805
Sent using Jamii Forums mobile app